Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

hivi kuna watu tunanyenyekea na heshima kama sisi tusiosoma?ila unaonekana kuna kitu umepungukiwa! hujasoma huna kazi...

ila angalia mjamaa hapo analialia unadhani dada etu angekua jobless afu hajasoma angemlilia? angemuacha akaja na uzi kuwa mwanamke hafadhiliki
Nyie ambao hajmasoma ndio wife material. Kwa uzoefu wangu nimekuwa na wa aina yote, wako exptional waliosoma lakini na adabu( hawa ni wachache), lakin waliobaki ni crisis. Maana ana value mahusiano based on usomi wake
 
Nyie ambao hajmasoma ndio wife material. Kwa uzoefu wangu nimekuwa na wa aina yote, wako exptional waliosoma lakini na adabu( hawa ni wachache), lakin waliobaki ni crisis. Maana ana value mahusiano based on usomi wake
hana cha kupoteza pia
na ndo wanawake wenye soko hao kila mtu anawataka asa anyenyekee nini
 
Ushauri wangu muulize katika hao wanaume 10 anaoweza kuwa nao wewe utashika namba ngapi?

Kama upo top 5 basi kaa kwa kutulia.

Kuhusu simu kwenda nayo bafuni anaenda kuisafisha kama yako unaicha chafu pole sana.

Hitimisho
Kuna vitu sio vya kuomba ushauri, labda useme tu umekuja kutoa la moyoni 😂
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja

Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
kimbia haraka sana hapo
 
hivi kuna watu tunanyenyekea na heshima kama sisi tusiosoma?ila unaonekana kuna kitu umepungukiwa! hujasoma huna kazi...

ila angalia mjamaa hapo analialia unadhani dada etu angekua jobless afu hajasoma angemlilia? angemuacha akaja na uzi kuwa mwanamke hafadhiliki
Nani anakunyasa nyasa huyo malaika wangu😁
 
Ushauriwe nini wakati we umeamua kuwa na malaya.
Unakuja kutusumbua sisi huku ni wewe mwenyewe ulimchukua..
Huyo ni malaya tu,kasema mwenyewe hata 10 anaweza kuwa nao haikuhusu.
Watu wa hivi unafikiri wanataka ushauri kweli? Hapa anatafuta justification ya kuoa malaya. Kuna mahala aya ya mwisho kabisa kaandika kaomba msamaha eti ni shetani amempitia.
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja

Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Enyi wagalatia ni nani aliyewaroga.
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja

Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Bora akuue kiziwi na kipofu wewe, tunawaambia tombàa kisha sepa hamuelewi bora akuue
 
Anakumudu, hilo ndio huwa jibu langu. EPUKA MWANAMKE ANAEKUMUDU, Hakikisha unammudu wewe. Hiyo simu inafanya ujinga huo bado unaichekea, bado unamchekea oneshwa kukereka kama kukasirika kwako na reaction yako kwake ndio itakuwa mwisho basi ipo siku huko atakapoenda atakumbuka aliwah kuwa na mwanamme imara.
 
Back
Top Bottom