princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
mwache amuache mshkaji ataolewa na afisa siunajua pale majaa hawakosekanagiHuyo demu ni mshamba, anazuzuliwa na wale wanaoleta maburungutu pale kaunta. Demu atakuwa pisi af ni bank telller tu😂
Nyie ambao hajmasoma ndio wife material. Kwa uzoefu wangu nimekuwa na wa aina yote, wako exptional waliosoma lakini na adabu( hawa ni wachache), lakin waliobaki ni crisis. Maana ana value mahusiano based on usomi wakehivi kuna watu tunanyenyekea na heshima kama sisi tusiosoma?ila unaonekana kuna kitu umepungukiwa! hujasoma huna kazi...
ila angalia mjamaa hapo analialia unadhani dada etu angekua jobless afu hajasoma angemlilia? angemuacha akaja na uzi kuwa mwanamke hafadhiliki
hana cha kupoteza piaNyie ambao hajmasoma ndio wife material. Kwa uzoefu wangu nimekuwa na wa aina yote, wako exptional waliosoma lakini na adabu( hawa ni wachache), lakin waliobaki ni crisis. Maana ana value mahusiano based on usomi wake
kimbia haraka sana hapoMimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Nani anakunyasa nyasa huyo malaika wangu😁hivi kuna watu tunanyenyekea na heshima kama sisi tusiosoma?ila unaonekana kuna kitu umepungukiwa! hujasoma huna kazi...
ila angalia mjamaa hapo analialia unadhani dada etu angekua jobless afu hajasoma angemlilia? angemuacha akaja na uzi kuwa mwanamke hafadhiliki
WANA WA ADAMU hawaNani anakunyasa nyasa huyo malaika wangu😁
pole sana jamani, waambie wakuache wasikusumbue ntawafukuza nchini😁WANA WA ADAMU hawa
Soko ni temporary, baada ya 5 yrs huwa wanagundua elimu,mali, madaraka haviwasaidii kupata mwanaumehana cha kupoteza pia
na ndo wanawake wenye soko hao kila mtu anawataka asa anyenyekee nini
Watu wa hivi unafikiri wanataka ushauri kweli? Hapa anatafuta justification ya kuoa malaya. Kuna mahala aya ya mwisho kabisa kaandika kaomba msamaha eti ni shetani amempitia.Ushauriwe nini wakati we umeamua kuwa na malaya.
Unakuja kutusumbua sisi huku ni wewe mwenyewe ulimchukua..
Huyo ni malaya tu,kasema mwenyewe hata 10 anaweza kuwa nao haikuhusu.
Bahati mbaya sana ni kwamba naona mke sioi kazi ya mwanamke...Ukiwa na kazi na umesoma mpaka raha. Yani mwanaume unamfanya unavotaka mpaka anakuja jf kuomba ushauri mana wewe ni wife wa ndoto. Daah nimelia sana.
hapo dawa ni kupiga chini tu...Inaonekana anakucontrol huyo mwanamke we ulishakosea kwanzia mwanzo ndo maana anakujibu hivyo
Enyi wagalatia ni nani aliyewaroga.Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Bora akuue kiziwi na kipofu wewe, tunawaambia tombàa kisha sepa hamuelewi bora akuueMimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Mkuu mada za msingi uwe unatoa michango ya kujenga, kujiitisha baby kwenye threads za wanaume wenzio ni unaaababy mamboooo