Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Achana nae huyo utajuta mbeleni
 
Umesema huyo black mwenye matako makubwa ni single mother na ana injini 2 zimepaki pembeni? Qudadek
No mwenye mtako mkubwa sio single maza mkuu na ana miaka 25 japo alishajifungua kwa upasuaji mtoto akafariki
 
Hujakua hata bado mtoto kbs kwasababu hujui unataka nini.
 
Kwa ninayayaona na niliyojifunza chagua anaekupenda sana na ametulia mtunze Mpe tabasamu utashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…