Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Gono hana mkuu kuna kipindi nilikuwa nina wasi wasi nae sana akaniambia ni presha zangu tu yeye hana hana shida na condom imeshapasuka mara kibao lakini natoka vzr tu mkuu
Unapasea condom una kuni kubwa kiasi gani maana condom 1 inajaza maji ya lita 20 na zaid yaan ndoo ya lita 20 unaweza ukaivisha condom na isipasuke
 
Unapasea condom una kuni kubwa kiasi gani maana condom 1 inajaza maji ya lita 20 na zaid yaan ndoo ya lita 20 unaweza ukaivisha condom na isipasuke
Mkuu uchi wake mdogo sana halafu ni mkavu hatari
 
Ni yupi kati ya hao ukilala nae na ukienda kwenye mishe mambo yanajipa?!
 
Ipo siku utakumbuka huu ujinga ulioandika hapa na utajitukana mwenyewe.
 
Hakuna ata mmoja utamuoa hapo, take it from me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…