Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Nishaurini nichague yupi kati ya hawa. Niko njia panda

Wakuu sisi wanaume sometime tunajitwika mizigo mizito kichwani ipo hivi.

Nilianza kudate na mdada fulani sio mzr sana mweusi kifupi anasura ya baba ila kabarikiwa shundu la kwenda yani huyo dem anatako sio mchezo na hicho ndicho nilichokipenda kwake. Japo sio mwanamke ambae nina future nae. Ana mapenzi ya dhati aombi hela ovyo pia hana dharau.

Nikaja nikatongoza mwengine huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo.

Sasa kuna huyu wa tatu ni wife material kabisa aombi hela, mtulivu sana kuliko hata wa kwanza anapenda kuolewa akija home ni mtu wa kufanya usafi kama kunifulia na vitu vingine japo sura yake sio nzuri sana ila ni mzr kuliko wa kwanza. Kila siku ananitumia meseji kuniuliza kama kweli nitamuowa na mbaya zaidi yupo mtaani kwangu kabisa kiac kwamba imekuwa ngumu hata kuleta mwanamke mwingine.

So hapa ndugu zangu nashindwa nimchague yupi sababu kila mmoja ana sifa zake na kusema niwaowe wote siwezi. Coz pia nahitaji kutimiza ndoto zangu so nikishawaweka hawa wote hapo nitakuwa nimejichimbia kaburi la umaskini kuna muda naweza kusema namuacha fulani akinicheki tu kwa simu tayari nabadilisha maamuzi.

Kama jana niliapa ile pisi kali lazima niibwage kisha nichague mmoja kati ya hawa wife material lakini toka asubuh nilikosa amani kabisa imefika asubuhi ya leo dem c akapiga videocall akaanza kunionyesha chuchu zake aisee ile nguvu ya kumuacha ikaondoka pale pale. Mpaka sasa hivi nipo sielewi cha kufanya yani nomekuwa kama fala

Note:huyu ambae nipo nae home ni binti wa miaka 20 but ni single mother wa watoto mapacha
Tamaa ya ngono
 
Wakuu sisi wanaume sometime tunajitwika mizigo mizito kichwani ipo hivi.

Nilianza kudate na mdada fulani sio mzr sana mweusi kifupi anasura ya baba ila kabarikiwa shundu la kwenda yani huyo dem anatako sio mchezo na hicho ndicho nilichokipenda kwake. Japo sio mwanamke ambae nina future nae. Ana mapenzi ya dhati aombi hela ovyo pia hana dharau.

Nikaja nikatongoza mwengine huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo.

Sasa kuna huyu wa tatu ni wife material kabisa aombi hela, mtulivu sana kuliko hata wa kwanza anapenda kuolewa akija home ni mtu wa kufanya usafi kama kunifulia na vitu vingine japo sura yake sio nzuri sana ila ni mzr kuliko wa kwanza. Kila siku ananitumia meseji kuniuliza kama kweli nitamuowa na mbaya zaidi yupo mtaani kwangu kabisa kiac kwamba imekuwa ngumu hata kuleta mwanamke mwingine.

So hapa ndugu zangu nashindwa nimchague yupi sababu kila mmoja ana sifa zake na kusema niwaowe wote siwezi. Coz pia nahitaji kutimiza ndoto zangu so nikishawaweka hawa wote hapo nitakuwa nimejichimbia kaburi la umaskini kuna muda naweza kusema namuacha fulani akinicheki tu kwa simu tayari nabadilisha maamuzi.

Kama jana niliapa ile pisi kali lazima niibwage kisha nichague mmoja kati ya hawa wife material lakini toka asubuh nilikosa amani kabisa imefika asubuhi ya leo dem c akapiga videocall akaanza kunionyesha chuchu zake aisee ile nguvu ya kumuacha ikaondoka pale pale. Mpaka sasa hivi nipo sielewi cha kufanya yani nomekuwa kama fala

Note:huyu ambae nipo nae home ni binti wa miaka 20 but ni single mother wa watoto mapacha
Pole sana mdogo wangu,
Najua wengi watakutukana na kukubeza na kuona huna maana. Lakini kati Yao utakuta ndiyo maisha waliyoyapitia!

Sasa, Fanya hivi;
1. Huyo mwenye kiburi na dharau na mambo makubwa utamiacha ila polepole bila maumivu.
2. Chagua mmoja kati ya wawili waliobakia, awe wa future Yako .
3. Hiyo ni kwa usalama wa moyo wako.

Jiandae Kwa kikao cha mwezi wa tu.
 
Chukua huyo wa tatu maana kidogo anaonekana ana akili kichwani,huyo wa kwanza kwani utakula kishundu chake,halafu hiyo unayoiita pisi mtasumbuana ukimuoa

ACHANA NA MAMBO YA TAMAA ITAKUPONZA,FANYA VITU KAMA MTU MZIMA
 
Pole sana mdogo wangu,
Najua wengi watakutukana na kukubeza na kuona huna maana. Lakini kati Yao utakuta ndiyo maisha waliyoyapitia!

Sasa, Fanya hivi;
1. Huyo mwenye kiburi na dharau na mambo makubwa utamiacha ila polepole bila maumivu.
2. Chagua mmoja kati ya wawili waliobakia, awe wa future Yako .
3. Hiyo ni kwa usalama wa moyo wako.

Jiandae Kwa kikao cha mwezi wa tu.
Shukran sana boss wangu ila pia kama hutojali ungenishauri pia kuhusu hao wawili
 
Chukua huyo wa tatu maana kidogo anaonekana ana akili kichwani,huyo wa kwanza kwani utakula kishundu chake,halafu hiyo unayoiita pisi mtasumbuana ukimuoa

ACHANA NA MAMBO YA TAMAA ITAKUPONZA,FANYA VITU KAMA MTU MZIMA
Sawa mkuu shukrani sana
 
Wakuu sisi wanaume sometime tunajitwika mizigo mizito kichwani ipo hivi.

Nilianza kudate na mdada fulani sio mzr sana mweusi kifupi anasura ya baba ila kabarikiwa shundu la kwenda yani huyo dem anatako sio mchezo na hicho ndicho nilichokipenda kwake. Japo sio mwanamke ambae nina future nae. Ana mapenzi ya dhati aombi hela ovyo pia hana dharau.

Nikaja nikatongoza mwengine huyu sasa ndio moyo wangu upo ni mzuri sana pisi ya kwenda tatzo lake ni mtu mwenye kiburi, anapenda maisha ghari kiufupi sio wife material tatzo ndio moyo wangu upo.

Sasa kuna huyu wa tatu ni wife material kabisa aombi hela, mtulivu sana kuliko hata wa kwanza anapenda kuolewa akija home ni mtu wa kufanya usafi kama kunifulia na vitu vingine japo sura yake sio nzuri sana ila ni mzr kuliko wa kwanza. Kila siku ananitumia meseji kuniuliza kama kweli nitamuowa na mbaya zaidi yupo mtaani kwangu kabisa kiac kwamba imekuwa ngumu hata kuleta mwanamke mwingine.

So hapa ndugu zangu nashindwa nimchague yupi sababu kila mmoja ana sifa zake na kusema niwaowe wote siwezi. Coz pia nahitaji kutimiza ndoto zangu so nikishawaweka hawa wote hapo nitakuwa nimejichimbia kaburi la umaskini kuna muda naweza kusema namuacha fulani akinicheki tu kwa simu tayari nabadilisha maamuzi.

Kama jana niliapa ile pisi kali lazima niibwage kisha nichague mmoja kati ya hawa wife material lakini toka asubuh nilikosa amani kabisa imefika asubuhi ya leo dem c akapiga videocall akaanza kunionyesha chuchu zake aisee ile nguvu ya kumuacha ikaondoka pale pale. Mpaka sasa hivi nipo sielewi cha kufanya yani nomekuwa kama fala

Note:huyu ambae nipo nae home ni binti wa miaka 20 but ni single mother wa watoto mapacha
Kumbe kutoomba hela ni sifa mpya ya U-wife material?🤣🤣🤣🤣
 
Hatua ya kwanza ya mafanilkio ya mwanaume ni kuweza kuzitawala hisia zake za kingono.. ukishindwa hapo kazi unayo
 
kijana,
hatuoi tako wala sura. Sifa ya kwanza ya mke je ni ana hofu ya Mungu? ana huruma na wewe? akishakuwa na hivyo viwili then unaweza angalia hayo mengine ya maumbile.
Achana na single mother ingali wewe huna mtoto/hukuwahi kuoa.
 
Back
Top Bottom