Bauntu asukile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2020
- 324
- 442
Ila una moyo sana ila kwangu mtu wangu akishachepuka tu na nikajua basi biashara inaishia hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni nyauu sanaa.Nimewahi kuwa na mahusiano na mdada mmoja kutoka kwao alikuja kanda ya ziwa kwa ajili ya masomo katika katika harakati zangu tukakutana nikamfikishia langu la moyoni akanielewa japo ilichukua siku kadhaa kukutana kimwili.
Baada ya kukutana kimwili ilibidi ahamie kwangu maisha yakasonga baadae akanishauri tuhame mahali tulipokua tunaishi kwakua ilikua mbali na chuo kilipo anaposomea hivyo tulihama na kusogea karibu na chuo kilipo.
Mie maisha yaliyumba ikafikia wakati wa fildi kwakua ni mgeni hivyo alinipatia barua za kusambaza katika maofisi kwa ajili ya fildi nami nilizisambaza,,, alipigiwa simu kati ya ofisi moja alipoenda akaambiwa subiri kidogo tutakujulisha baada ya hapo wakaanza kuchat na jamaa hapo ofisini ndipo mabadiliko yalipoanzia,,,
Siku moja akaondo ka nyumbani wakasafiri na jamaa kwa siku tatu (3) aliporudi akachukua vitu ndani akahama akaenda kupanga nikamuacha lakini kwakua nilimpenda mawasiano yalirudi akarudi home maisha yakaendelea,,,
Story ni ndefu kwa kifupi ameodoka kwangu na kurudi mara mbili (2) na kila akiondoka anakua na mwanaume wanaishi hii ya mwisho mwanaume aliyekua naye walivishana pete lakini msela alikua anampiga sana mpaka ananikumbuka maana sijawahi mgusa hata kwa bahati mbaya.
Haya nimeyajua baada ya yeye mwenyewe kuniambia maana anataka turudiane nami sitaki japo nampenda bado juzi kati alikuja kwangu nikakaa naye kwa wiki moja anadai anataka ni muoe nizae naye ila naogopa matendo yake anaweza rudia tena,,, mpaka sasa tuna mawasiliano.
Nishaurini nirudiane naye au nimuweke awe uwanja wa mazoezi.
Afya yako huijali mkuu
Kuna watu hawana kinyaa kabisa unajua kabisaa hapa jana alinanii nawe unafanyahataki ngoma anacho tafuta studio ya kurekodi hip hop,rnb na rock
Aiseeeeeeeeeena kubold umebold ....
Kuna siku niliwaambia tz izungushiwe utepe wa njano ule wa police kwa uchunguzi zaidi nyie mnabisha huenda tz huko nyuma ilikua nchi ya kuhifadhia vichaa acheni ubishi [emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna watu hawana kinyaa kabisa unajua kabisaa hapa jana alinanii nawe unafanya
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1303] jibu zuri kabsaAkalipe mahari kwenu haraka akuoe.