Nishaurini nirudiane naye au nimuweke awe uwanja wa mazoezi?

Nishaurini nirudiane naye au nimuweke awe uwanja wa mazoezi?

Duu! Pole aisee lakini hapo hakuna mke huyo ni machokumchuzi!
Inaoekana ameshakuona wewe ni boya na anaweza kukupelekesha anavyotaka, kaona kamteremko hapo kwako!
Yaani mwaamke aahama kwako awe unajua kabisa kahamia kwa mwanaume mwigine alafu bado anakurudia unampokea!!..Tambua kuwa hadi hapo tayari alishakupangisha foleni na wanaume wengine na kaona unakubaliana na kupangishwa foleni huko, lakini wenzako hawakubali, wanampa kipigo sasa anataka akae na wewe ili aweke kambi kwako na aendelee na ushetani wake bila bugudha!
Kwa ufupi ukimuoa huyo bidada basi jiandae kuendelea kushea na wanaume wengine alokwishajenga nao mahusiano, hilo liweke kabisa kwenye bajet na ujipime kama unaliweza au laa!
 
Kweli ulimpenda kutoka moyoni visa vyote hivyo bado uko naye? sikilizia moyo wako.
 
Sidhan kama unahitaj ushaur hapo ,una moyo
 
Yaani mimi nina wivu balaa..nikiwa tu demu asiye bikra huwa nawaza majamaa yaliyomgegeda..sasa wewe unakaa na mtu ambaye unajua huwa anakuacha anaenda kukizungusha huko then mambo yakiaribika ndo anarudi kwako..wewe jamaa ni dhalili.
 
Hahahah,nimecheka vibaya...Yani Mambo mengine ni marahisi Sanaaaa, Sema nyie ndo mnafanya yawe magumu...
 
Kuna siku niliwaambia tz izungushiwe utepe wa njano ule wa police kwa uchunguzi zaidi nyie mnabisha huenda tz huko nyuma ilikua nchi ya kuhifadhia vichaa acheni ubishi [emoji1][emoji1][emoji1]
HAHAAHAha kudadeki
 
Kuna siku niliwaambia tz izungushiwe utepe wa njano ule wa police kwa uchunguzi zaidi nyie mnabisha huenda tz huko nyuma ilikua nchi ya kuhifadhia vichaa acheni ubishi [emoji1][emoji1][emoji1]
best comment
 
Hivi wewe ni mwanaume kweli au hehehe brother mimi hata nikiona sms za ajabu sirudigi nyuma wewe hao wote wa nini sasa kabila gani wewe AAH
 
Back
Top Bottom