Nishaurini nirudiane naye au nimuweke awe uwanja wa mazoezi?

Ila una moyo sana ila kwangu mtu wangu akishachepuka tu na nikajua basi biashara inaishia hapo
 
kwa hiyo kipenyo kimetumika kimetumika mipini mitatu kwa wakati tofauti.

pumbavu utakuja kubeba nuksi za wanaume wenzako walizomuachia
 
We ni nyauu sanaa.
Baharia unafeli hatari...

Hili nalo hujui solution?

#YNWA
 
Kuna siku niliwaambia tz izungushiwe utepe wa njano ule wa police kwa uchunguzi zaidi nyie mnabisha huenda tz huko nyuma ilikua nchi ya kuhifadhia vichaa acheni ubishi [emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa umenichekesha kinoma
 
Kuna watu hawana kinyaa kabisa unajua kabisaa hapa jana alinanii nawe unafanya

mapenzi yapo hivi
kama mchezo wa kubeti
huyu mwanaume odd zake 10 {draw 2.5} mwanamke odd zake 1.2

mpaka sasa wa kubeti inaonyesha huyu jamaa na mwanamke ni GG (1/2)
 
Pole sana... Fuata kile roho inapenda...

Ila usisahau akili nyuma...
 
Siku akija kulala.na hao.wanaume wengine hapo.geto.kwako ndio akili itakukaa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…