Nishaurini nirudiane naye au nimuweke awe uwanja wa mazoezi?

Dah sheria za kwetu jamaa inabidi apigwe na ufagio hadi kufa😠😠
 
Huyu atakuwa mwanaume wa Dar es Salaam bila shaka. Hawezi kusoma anashindwa hata kutafsiri picha?
 
Hahahahaha mimi kama vampire nitamnyonya damu huyo jamaa miaka 33 uko ivyo
 
Hivi mtu hadi anawekwa ndani na njemba ingine mara 2 we bado uko nae tu....sasa hapa hata tukikushauri si tutakua tunapigia mbuzi gitaa...
 
Kuna siku niliwaambia tz izungushiwe utepe wa njano ule wa police kwa uchunguzi zaidi nyie mnabisha huenda tz huko nyuma ilikua nchi ya kuhifadhia vichaa acheni ubishi [emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anakuzidi akili,achana naye
 
Ningekuwa mzee mpili ningekuloga, phaller sana wewe
 
Endelea kumkula tuu mwanawane ndio kilichobakia hafai kuwa mke huyo. Mbususu haisuswi ikija wee unasasambua tuu ila hakikisha unakuwa na mademu wengine kama wawili hivi
 
Muoe mkuu uyo mwanamke ni wife material uwezi pata kama uyo tena ukimuacha
 
Uwanja wa mazoezi anastahili.

M\ke kaondoka mara mbili na mara zote kisa kapata m/me mpya asee ukioa umeoa kisukari, presha ya kupanda na kushuka, homa ya ini na homa kali ya mapafu (uviko-19)
 
Kwa kuwa huwa anajileta mwenyewe, wewe gonga tu papuchi hiyo, papuchi huwa haikataliwi. Ila, USIJARIBU KUMUOA, NI HATARI SANA KWA AFYA YAKO..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…