Nishaurini nirudiane naye au nimuweke awe uwanja wa mazoezi?

" Wakaanza kuchat na jamaa hapo ndipo mabadiliko yalipoanzia" mwisho wa kunukuu.
 
Kwa kuwa huwa anajileta mwenyewe, wewe gonga tu papuchi hiyo, papuchi huwa haikataliwi. Ila, USIJARIBU KUMUOA, NI HATARI SANA KWA AFYA YAKO..!!
Kugonga ni hatari zaidi maana hawajulikani wako wangapi wanao share.
 
Ishi na kwa timing mguu moja ndani mguu moja njee
only Kama bado anamuhitaji kwa matumizi ya hapa na pale otherwise... Aache upoyoyo kujifanya yeye ndio anajua kupenda!!
 
Houston we have a problem...

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ungekuwa karibu yangu hakika Kofi Kwanza ndo naanza kuongea na wewe

Huku jicho langu jekundu

Umekosa wanawake wengine

Pumbafaaa
 
Ndio shida ya kuanza mapenzi uzeeni
 
duuh kazi ipo
Unaishi Dodoma?
Au ushapima akili mkuu?
 
Aisee we jamaa hujielewi kabisa
 
Field ni kingereza nami nimeandika ujumbe wangu kwa kiswahili kwa nini kuchanganya lugha au kuchanganya lugha ndiyo usomi?
 
Kuna thread nashindwaga nitoe neno gan.
Anyway fanya vile unahisi n sawa kwako
 
Haishangazi kuona wanaume tunapungua kwa speed ya jet hivi hilo ni la kuomba ushauri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…