Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote. Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja

Nishawai toka Kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote. Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja

Ni insecurity nadhani hana muonekano wa kuvutia inamtesa
20250221_133403.jpg
 
Mtu mstaarabu ambaye anafahamu kuwa kusalimiana kwa watu walio kaa karibu ni uungwana....leo aambiwe ana "inferiorities & insecurities" za kuwa na mwonekano hafifu mbele ya hao "wanyange"?!!

Duuh tuhuma hizi ndizo hizo EGO zenyewe.....

Ukikaa na waingereza hata kama hamjuani na mmekaa karibu utasikia "hello" halafu imekwisha hiyo...ila hawa wazungu-weusi wanajitia kuwadogosha wengine....ha ha ha ha
kwanza alivyojibu siumeona amejibu kimalaya kimalaya sasa unadhani hapo kuna mtu🤣🤣
 
mwanamke ambaye amelelewa na wazazi hawezi kutoa majibu kama yale Too bad anaamini watu wenye muonekano ndo wanapewa heshima

total ni bitch
.....yaani mwonekano ndio uwe mizani ya thamani ya utu?!!

Hawa ni magonjwa wa Mirembe ariifu ?!! Ha ha ha
 
Mtu mstaarabu ambaye anafahamu kuwa kusalimiana kwa watu walio kaa karibu ni uungwana....leo aambiwe ana "inferiorities & insecurities" za kuwa na mwonekano hafifu mbele ya hao "wanyange"?!!

Duuh tuhuma hizi ndizo hizo EGO zenyewe.....

Ukikaa na waingereza hata kama hamjuani na mmekaa karibu utasikia "hello" halafu imekwisha hiyo...ila hawa wazungu-weusi wanajitia kuwadogosha wengine....ha ha ha ha
Kwahiyo muingereza ndo nani hasa hadi umtolee mfano? utumwa huo wa fikra kila mtu ana utaratibu wake kwenye maisha, mimi hata usiponisalimia fresh tu na ukiniuliza swali nakujibu uzuri kabisa,
Salamu ndio nini maisha yenyewe haya ya kuviziana utapeli kila kona.
 
Kwahiyo muingereza ndo nani hasa hadi umtolee mfano? utumwa huo wa fikra kila mtu ana utaratibu wake kwenye maisha, mimi hata usiponisalimia fresh tu na ukiniuliza swali nakujibu uzuri kabisa,
Salamu ndio nini maisha yenyewe haya ya kuviziana utapeli kila kona.
Kusalimia sio lazima yule aliefika baada ndo asalimie hata wewe uliekuepo unaweza kusalimia tu.

Tatizo watu wanapenda kujipa umuhimu wasiokua nao.
 
unajua wanawake baadhi yao ni vilaza sana

if we click we click if we don't we won't

Kuna siku nipo kwenye Coster Naelekea Zangu Tunduma Akaja Mdada mmoj Mweupe Kavaa Head phone Maskion Kaja kukaa jiran Ajanisalimia Nikawa na mzoom tu Uku Na Angalia Pemben Tukawa tumefika sehemu inaitwa Mlowo nkanunua Zangu Chips Na majuisi na maji Safari ikaendelea tulivofika vyawa Eti Ananiuliza Hapa Ni Wapi nikamjbu Nika Mwambia Hapa tupo Boda Ya Zambia Tunaelekea Congo Alianza kupiga Kelele kwenye Gari Eti kondaaa nishushe me Congo siendi walimuona kaa Mwehu 🤣🤣


embu lete experince yako yeyote uliwahi kutana nayo ya watu wasiojua kusalimia💥
Hongera sana. Hakika hayo ni mafanikio makubwa kwenye maisha yako. Uliteketeza hela nyingi sana kwenye chips na majuice. Wewe ni mfano wa kuigwa.
 
Kwahiyo muingereza ndo nani hasa hadi umtolee mfano? utumwa huo wa fikra kila mtu ana utaratibu wake kwenye maisha, mimi hata usiponisalimia fresh tu na ukiniuliza swali nakujibu uzuri kabisa,
Salamu ndio nini maisha yenyewe haya ya kuviziana utapeli kila kona.
Ninaheshimu mawazo yako daktari.....

Nimewatolea mfano hao waingereza tu lakini salamu ni kitu cha kujenga urafiki kwa jamii zote duniani...

Maisha kwa ujumla si ya kuviziana na kutapeliana....watu ndio hutapeliwa/kutapeli kwa sababu ya ujinga+tamaa+upumbavu na kutojifunza mbinu mbalimbali za kilimwengu...

Well ,kwa hiyo kwako una hofu ndani ya nafsi yako ukinitolea salamu mimi jirani yako safarini kwenda Shinyanga basi NITAKUVIZIA NA KUKUTAPELI ?!!

Kwani haitoshi tu kusema hello halafu ukapiga "buyu" safari nzima ama tumekutana na maumivu mengi sana (through abuses) kufikia kuwa na POST TRAUMATIC STRESS DISORDER ?!!

Amani kwako daktari Mariposa ,aamin!
 
Kusalimia sio lazima yule aliefika baada ndo asalimie hata wewe uliekuepo unaweza kusalimia tu.

Tatizo watu wanapenda kujipa umuhimu wasiokua nao.
Naam sio lazima mgeni amsalimie mwenyeji hata mwenyeji anaweza msalimia mgeni, jamaa ana shida zake tu
 
Back
Top Bottom