Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

Nisipoyasikia haya ndani ya dakika 30 tu za Hotuba yake Mama 'Dodomya' nazima Tv / Redio kwa 'Hasira'

Chadema waende mahakamani Tu
Sisi tumuombe Mama asiingilie Bunge wala mahakama
Binafsi, sioni sababu ya CDM kwenda Mahakamani, kama bado msimamo wao ni kutopeleka watu wao huko Bungeni. Itakuwa ni ROHO MBAYA tu. Wao, kama chama walimaliza kwa kuwafuta uanachama. Kama, wameshawaandaa wa kuwapeleka, basi wapeleke hayo majina. Iwe kazi kwa mamlaka, kutambua ni wepi waliopelekwa huko, kwa baraka za Chama. Wasipowatambua, basi hapo, waende huko Mahakamani, na nina imani watashinda!
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Kwenye namba tano hapo unataka warudishe makasino ya mbowe akauze unga ili upate mzunguko?
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
unaangalia Tv wapi?


ukizima watu watakuchukuliaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIMI NAONA HAWA CHADEMA WANA UCHU SANA WA KUWA WABUNGE ILHARI WALISHINDWA KWENYE KURA BASI WAJIITE TU NAO WABUNGE WAJENGE NYUMABA WAIITE BUNGE WAWE WANAENDA KUKUTANA HUMO
Mungu aoneye siri anakuona mpaka ndani ya moyo wako,anaona ulivyo na roho mbaya na yakikatili,anaona unafiki wa moyo wako.Nami kama mtumishi wa Mungu ninaomba kama ilivyokuwa kwa wenye moyo mchafu kama wa kwako na Mwendazake,Mfuatane wote
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Namba 7 tupopamoja mkuu hayo mengine pambana na haliyako.
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Mzee zima tv kama una timer ishapita sasa zima
 
1. Kuwaomba Radhi Watanzania walioumizwa
2. Kuwataka waliokimbia nchi warejee
3. Mishahara Kupandishwa Maradufu
4. Kusimamisha Ubunge wa akina Mdee
5. Kuurejesha Mzunguko wa Pesa
6. Kuwasamehe wote waliofungwa kwa Chuki na Uonevu
7. Kuipongeza Simba Sports Club yangu

Nasisitiza hapa hapa kuwa Generalist ndani ya dakika zangu 30 za Kumsikiliza Mama asipoyagusia haya nazima Tv / Redio na kurejea Chumbani kuendelea Kumuomba 'Israeli' aendelee Kutufurahisha Watanzania kwa namna yake ile ya Kipekee ya 'Kimya Kimya Ghafla Style' tu.
Mkuu dakika ya 25 sasa hajataja hata moja🤔🤔🤔
 
Sheria ipi hiyo Mkuu inayoruhusu watu kufanya forgery kwenye forms husika kinyume na matakwa ya chama chao. Msekwa alishasema huwezi kuwa Mbunge Tanzania kama si mwanachama wa chama cha siasa na hao 19 kwa sasa si Wanachama wa chama chochote cha siasa hivyo Katiba haiwaruhusu kuwepo mjengoni.
La wabunge kina Halima liko kisheria..
Bunge ni taasisi huru
Yeyote anaepinga aende mahakamani
Na mahakama ni taasisi huru...

Kama kweli tunamtaka Mama asiingilie Bunge wala mahakama hatuwezi tena kumwambia aingilie Bunge kufanya maamuzi tunayo yaona sahihi...

Chadema waende mahakamani Tu
Sisi tumuombe Mama asiingilie Bunge wala mahakama
 
Back
Top Bottom