Nisiwanyime taarifa Tarehe 17/06/2022 Ninafungua ndoa na Msweden (Mswidi)

Nisiwanyime taarifa Tarehe 17/06/2022 Ninafungua ndoa na Msweden (Mswidi)

Ule uzi wako ulionesha kujilipua lipua lakini hukumalizia huko Norway ulifikaje na unafanya ishu gani bila vyeti ulivyoibiwa, isijekua umekua punda mkuu. Tutakupoteza.
 
Hajambo..anakusalimia
Wape hi
CC74CD48-505A-4173-B969-9A7093364CEE.jpeg
 
Habari zenu bwana mko salama ?

Nimewapa taarifa nafurahia sana

Mtoto wa kiswidi ndo kaangukia mikononi mwangu

Atakuwa kamaliza chuo maana wazazi wake walisema mpaka amalize

Upsala University


Karibuni.

Itafanyika Bukoba TANZANIA



View attachment 2224567
Mungu mwemaView attachment 2224570View attachment 2224571
Dah shekh embu okota 👊
 
Back
Top Bottom