Inye ndi kunu ndiyo mulinzile amulete akibanja tunyweo RubisiTugende maki kuleba omgole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inye ndi kunu ndiyo mulinzile amulete akibanja tunyweo RubisiTugende maki kuleba omgole
Habari zenu bwana mko salama ?
Nimewapa taarifa nafurahia sana
Mtoto wa kiswidi ndo kaangukia mikononi mwangu
Atakuwa kamaliza chuo maana wazazi wake walisema mpaka amalize
Upsala University
Karibuni.
Itafanyika Bukoba TANZANIA
Hatua nilizopitia mpaka kufika Ukraine, na bado niko njiani kwenda nchi ya ahadi Norway
Hello wakuu habari za siku mbili tatu, Jamani mimi ni kijana Mtanzania ambaye nimekulia Tanzania, nimesomea shule zote Tanzania mpaka elimu ya chuo kikuu. Kwa bahati mbaya sikumaliza mwaka wangu wa mwishoni wa chuo kikuu kutokana na tatizo la ada maana mimi ni miongoni mwa vijana ambao...www.jamiiforums.com
View attachment 2224567
Mungu mwemaView attachment 2224570View attachment 2224571
Naba ninyenda kumbaza amaizi nkainago omuswiden, chonkya naijuka okwobilye'ebyenshoni kumbaza ebyomunjuye!Eeeh kyoma Olige. ..mayo mayo!
Kwa dharura SheikhIla usije kuleta kilio hapa mambo ya oh! Hana maji kama pisi za Bukoba, komaa naye huyohuyo usitamani pisi kali za bongo.
Mimi mwenyewe nasubiri jibuHeheheh nakazia hapa mkuu
Pisi kali za uko lativia zinaomba pesa Sana ?Hizi ntakuchek zikipatikana kaka ila salary si kubwa ni 1800$ per month hapa Lativia mishahara si mikubwa
Ndoa zao Tata kivip? Dawa Yao kuwekeza Nyumbani Tu ili mkiachana wasikufilisiUpo Sweden mkuu? Angalia ndoa zao ni Tata Sana mkuu usije pelekeshwa.
Funga ndoaa kulaa maisha.
Hizi pisi ni Tata Sana ..unaweza pigwa tukio hutoaminiNdoa zao Tata kivip? Dawa Yao kuwekeza Nyumbani Tu ili mkiachana wasikufilisi
Sent using Jamii Forums mobile app