M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
MaJangaHaya hutasikia wakiyasema wanataka ununue ili mteseke wote πππ!!! Sasa gari ya namna hii ukimwambia mtu unaiuza unafikiri atakupa zaidi ya 8M hata kama ni mpya?
Kuagiza ndo maumivu zaidi Bora kilenga kwenye maduka ya Wapemba IlalaDuh, parefu mno! Ila mjifunze kuaiza vitu kutoka nje , ni rahisi sana huko kuliko kupangiwa matokeo na viduka vya usiku hapa bongo.
Shock moja laki sita, hiyo gari naweza kusema ni Kama haitengenezeki,
Naomba mawasiliano ya huyo fundi plzSasa mimi ni mpenzi mkubwa wa Nissan, tema Murano. Ninaimiliki ila imenitesa sana sio kidogo ila imekuja kutulia hadi nashangaa.
Ipo hv, nilipoinunua hii gari sikupata shida. Siku moja nikampa fundi anifanyie service ya oil ya gear box na Engine. Fundi akanunua oil ya Puma(manjis Arusha) badala ya Matic J(Murano inatumia matic). Akaweka hiyo oil na mimi sikujua. Baada ya kama mwezi mmoja tu gia ya rivers ikaanza kuwa haikubali gari ikipata moto. Yani ilianza kelele hapo. Mimi sikujua shida ni nini. Gari ilinisumbua sana kama miezi 4-6 nateseka tu. Mara ikaanza kuwa inazima tu yenyewe, mara inaua coil, mara betri inakufa kwa muda mfupi. Nimetembeza karibu garage zote Arusha, niliwasiliana na mafundi wa dar nao vilaza tu. Diagnosis machine nazo zinataja codes ambazo hata uki Google inaeleza vingine. Nikibadilisha control box, coil zote, pulgs zote bila muafaka. Hadi pump ya mafuta niliweka mpya ila gari hamna kitu. Nilitokea kuichukia sana. Nilibadili hadi camshaft sensor, crankshaft sensor, oxygen sensor ila bado hamna kitu.
Katika kutafuta msaada nikakutana na fundi mmoja akaniambia hii gari imeua sensor kwenye gia box na imewekwa oil ambayo sio yake. Akaniambia tatizo hapo ni gear box tu hmhamna kingine, nilishindwa kumuamini ila mwisho wa siku ilibidi nimuamini. Akaniambia nimpe hizo sensor zote coil na vifaa vya zamani avirudishie vyote halafu tuagize gear box nyingine(alinishauri kuwa gear box haifai kutengeneza) wakuu nialiagiza gear box, akafunga, akarudisha vile vifaa vyake vya zamani vyote. Hadi lei gari imetulia na sikuamini kama ni ile Murano iliyokuwa inawasha taa zote ukianzia na check engine.
Conclusion ni kuwa magari ya Nissan sio mabaya bali mafundi wetu elimu chenga. Na bei za vifaa mafundi ndio wanapandisha.
Nissan murano ni gari comfortable sana na ni nzuri ukiitunza na kuipa vitu vyake original
Mbona una compare vitu havifanani? X trail ni mini suv na prado ni SUV kamili. X trail labda na Harrier. Pia huwezi compare Dualis na Rav 4 ni gari tofauti sanaNissan iko overrated.
Nakumbuka wakati Nissan Xtrail zinaanza kuingia Tz ilionekana kama zingekuwa mshindani au mbadala wa Toyota Prado, kilichotokea sote tunakijua, leo hii sokoni Xtrail inashindana na Toyota IST !
Vivo hivyo kwa Nissan Morano, zilionekana labda zingeweza kuiondoa Toyota Prado sokoni, lakini wapi, hata kuiondoa Toyota Kluger au Harrier imekuwa haiwezekani.
Ukija kwa Nissan Dualis vivyo hivyo utadhani ingeitoa new model ya Rav4 au Escudo sokoni, lakini wapi, hakuna kitu. Mambo ni yale yale.
Toyota zinazosifiwa zimejaa sana garadge, vipuli ni vingi sababu vina faida kutokana na mzunguko wake kuwa mkubwa, mmiliki ananunua mara kwa mara.Nissan iko overrated.
Nakumbuka wakati Nissan Xtrail zinaanza kuingia Tz ilionekana kama zingekuwa mshindani au mbadala wa Toyota Prado, kilichotokea sote tunakijua, leo hii sokoni Xtrail inashindana na Toyota IST !
Vivo hivyo kwa Nissan Morano, zilionekana labda zingeweza kuiondoa Toyota Prado sokoni, lakini wapi, hata kuiondoa Toyota Kluger au Harrier imekuwa haiwezekani.
Ukija kwa Nissan Dualis vivyo hivyo utadhani ingeitoa new model ya Rav4 au Escudo sokoni, lakini wapi, hakuna kitu. Mambo ni yale yale.
Umepambana...Sasa mimi ni mpenzi mkubwa wa Nissan, tema Murano. Ninaimiliki ila imenitesa sana sio kidogo ila imekuja kutulia hadi nashangaa.
Ipo hv, nilipoinunua hii gari sikupata shida. Siku moja nikampa fundi anifanyie service ya oil ya gear box na Engine. Fundi akanunua oil ya Puma(manjis Arusha) badala ya Matic J(Murano inatumia matic). Akaweka hiyo oil na mimi sikujua. Baada ya kama mwezi mmoja tu gia ya rivers ikaanza kuwa haikubali gari ikipata moto. Yani ilianza kelele hapo. Mimi sikujua shida ni nini. Gari ilinisumbua sana kama miezi 4-6 nateseka tu. Mara ikaanza kuwa inazima tu yenyewe, mara inaua coil, mara betri inakufa kwa muda mfupi. Nimetembeza karibu garage zote Arusha, niliwasiliana na mafundi wa dar nao vilaza tu. Diagnosis machine nazo zinataja codes ambazo hata uki Google inaeleza vingine. Nikibadilisha control box, coil zote, pulgs zote bila muafaka. Hadi pump ya mafuta niliweka mpya ila gari hamna kitu. Nilitokea kuichukia sana. Nilibadili hadi camshaft sensor, crankshaft sensor, oxygen sensor ila bado hamna kitu.
Katika kutafuta msaada nikakutana na fundi mmoja akaniambia hii gari imeua sensor kwenye gia box na imewekwa oil ambayo sio yake. Akaniambia tatizo hapo ni gear box tu hmhamna kingine, nilishindwa kumuamini ila mwisho wa siku ilibidi nimuamini. Akaniambia nimpe hizo sensor zote coil na vifaa vya zamani avirudishie vyote halafu tuagize gear box nyingine(alinishauri kuwa gear box haifai kutengeneza) wakuu nialiagiza gear box, akafunga, akarudisha vile vifaa vyake vya zamani vyote. Hadi lei gari imetulia na sikuamini kama ni ile Murano iliyokuwa inawasha taa zote ukianzia na check engine.
Conclusion ni kuwa magari ya Nissan sio mabaya bali mafundi wetu elimu chenga. Na bei za vifaa mafundi ndio wanapandisha.
Nissan murano ni gari comfortable sana na ni nzuri ukiitunza na kuipa vitu vyake original
Mtaalam wa jinsia za magari, Pathfinder na Navara ni jinsia gani?Murano imekaa kike-kike
thanx nimekusoma broKama ni gari lako la kwanza naomba stick kwenye Toyota,utapata experience nzuri na utajifunza kuhandle magari ikiwemo service n.k
Consumption ni 9 ~11km/l ila inajiuza kwa looks na design na siyo consumption wala perfomance.
In short huyu ni 'City Darling' hataki shida..
Tatizo lake kubwa hasa ni expensive kuimaintain...kuanzia spares, kufanya service. Ni pasua kichwa sana aisee ukiwa careless na hii gari. Inataka kubembelezwa, haitaki violence kabisajaman nafikilia kuinunua hii gari lakn sijaifahamu vizur. cjafahamu ulaji wake wa mafuta i mean kwa lita moja inatembea km ngapi? tatizo lake sugu ni lipi na uzur wake ni upi? bado naumiza kichwa kupata majibu sahihi.
Lami tu. Ukiipeleka rough road umeiuaTatizo lake kubwa hasa ni expensive kuimaintain...kuanzia spares, kufanya service. Ni pasua kichwa sana aisee ukiwa careless na hii gari. Inataka kubembelezwa, haitaki violence kabisa
1litre = 13.5 hadi 15 km depending on the driving conditions and the car service state.jaman nafikilia kuinunua hii gari lakn sijaifahamu vizur. cjafahamu ulaji wake wa mafuta i mean kwa lita moja inatembea km ngapi? tatizo lake sugu ni lipi na uzur wake ni upi? bado naumiza kichwa kupata majibu sahihi.
Hiyo labda kama haipo vema iliyovema inakupa 1litre = 13.5 hadi 15 kmKama ni gari lako la kwanza naomba stick kwenye Toyota,utapata experience nzuri na utajifunza kuhandle magari ikiwemo service n.k
Consumption ni 9 ~11km/l ila inajiuza kwa looks na design na siyo consumption wala perfomance.
In short huyu ni 'City Darling' hataki shida..
Unayo bro au kuitumia?!Hamna gari hapo
Unaweza kunipa list ya hizo gharama kwasababu me sijaziona na ninatumia hiyo gari kwa sasa.Tatizo lake kubwa hasa ni expensive kuimaintain...kuanzia spares, kufanya service. Ni pasua kichwa sana aisee ukiwa careless na hii gari. Inataka kubembelezwa, haitaki violence kabisa