Nitaendelea kushirikiana na Zitto Kabwe pamoja na Lissu kuichoma Serikali ya Tanzania

Nitaendelea kushirikiana na Zitto Kabwe pamoja na Lissu kuichoma Serikali ya Tanzania

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na Serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.

Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.

Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.

Tutaendelea kutoa informations muhimu!
 
Mpaka sasa hivi kuna information gani muhimu umezitoa? Za mkopo wa World Bank?

Wenzenu wapo field kuhakikisha mnapigwa kwenye uchaguzi mkuu nyie mmekomaa na information ambazo matokeo yake wote manajua kuwa ni zero?,!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni serikali ya hivyo kupata kutokea tangu tupate uhuru.

Viongozi walio wengi hawana hadhi ya kuongoza nchi hii yenye wingi wa wastaarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa hivi kuna information gani muhimu umezitoa? Za mkopo wa World Bank?

Wenzenu wapo field kuhakikisha mnapigwa kwenye uchaguzi mkuu nyie mmekomaa na information ambazo matokeo yake wote manajua kuwa ni zero?,!

Sent using Jamii Forums mobile app

Field ipi wakati matumizi ya dola ndio nguzo halisi ya nyie kutangazwa washindi.
 
Kama ni mkakati unaokwenda kwa hao watu wawili kuwa pamoja,msijidanganye,mmeanza kufeli,halafu hili tatizo la kimkakati sijui litaisha lini katika nchi hii,ndio maana CCM inawachezea kila kukicha.
Mzee mnafeli tena,hivi huwa hamnaga timu ya washauri.
 
We senge tu
Mimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.

Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.

Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.

Tutaendelea kutoa informations muhimu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom