Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
I
Ishu ya mimba haina factor moja wapo wanaobakwa,rubuniwa sababu ya usafiri,nkWatoto wa kike hawabakwi Wanaenda wenyewe Kwa Viherehre vyao. Serikali ilikusudia kuwapa adhabu ya kutorudi Shule ili Waache au kujiepusha na matendo ya Ngono Zembe. Kama bado wapo wanaoendeleza Ngono badala ya Shule naunga Mkono maamuzi ya Serikali.