Nitaendelea kushirikiana na Zitto Kabwe pamoja na Lissu kuichoma Serikali ya Tanzania

I
Watoto wa kike hawabakwi Wanaenda wenyewe Kwa Viherehre vyao. Serikali ilikusudia kuwapa adhabu ya kutorudi Shule ili Waache au kujiepusha na matendo ya Ngono Zembe. Kama bado wapo wanaoendeleza Ngono badala ya Shule naunga Mkono maamuzi ya Serikali.
Ishu ya mimba haina factor moja wapo wanaobakwa,rubuniwa sababu ya usafiri,nk
 
Lakin wao wanatujua zaidi kuliko tunavyodhani awatujui
Ndiyo hivyo...wacha wachunguze wajiridhishe wenyewe... Hata WB wanajua ninyi ni wapinzani na wanajua tabia za wapinzani.... Ninyi ni kama mmewapa alert lakini si kwamba watasikiliza porojo zenu....watachunguza kila kitu.
 
Niseme tu dunia bila hawa watu weupe hawa wakoloni weusi wangekuwa wakituchinja usiku na Mchana maana furaha yao ni kutuona tukiteseka usiku na mchana.
 
Tokea kwenye camera kbs mkuu, tukuone maana kina zitto wanafahamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…