Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Ishu ya mimba haina factor moja wapo wanaobakwa,rubuniwa sababu ya usafiri,nkWatoto wa kike hawabakwi Wanaenda wenyewe Kwa Viherehre vyao. Serikali ilikusudia kuwapa adhabu ya kutorudi Shule ili Waache au kujiepusha na matendo ya Ngono Zembe. Kama bado wapo wanaoendeleza Ngono badala ya Shule naunga Mkono maamuzi ya Serikali.
Ndiyo hivyo...wacha wachunguze wajiridhishe wenyewe... Hata WB wanajua ninyi ni wapinzani na wanajua tabia za wapinzani.... Ninyi ni kama mmewapa alert lakini si kwamba watasikiliza porojo zenu....watachunguza kila kitu.
Tokea kwenye camera kbs mkuu, tukuone maana kina zitto wanafahamikaMimi siyo mnafiki ila kiukweli ninayajua na kuyafahamu mengi yanayofanywa na Serikali ya Magufuli. Serikali kusema kweli imekuwa ikifanya mambo ya ukandamizaji na haya yanayohubiriwa hakuna lolote lile.
Sasa basi mimi nitaendelea kutoa ushirikiano kwa wadau wanaotaka mambo yaende sawa. Kusema kweli tutaendelea kuwa pamoja na hilo limeshaamuliwa.
Niwapongeze majemedari hawa kwa kuanza na kasi kubwa na tupo pamoja kwa kila jambo.
Tutaendelea kutoa informations muhimu!
Nasafiria.Kwani iliyonunuliwa ww ulipata nini?
Nasafiria.
Nalipia. Isingekuwepo ningelipa wapi?Kwani unasafiria bure?
Nalipia. Isingekuwepo ningelipa wapi?
Subir tamko laoKama ilijulikana hivyo kusingekuwa na haja kuhold off... Serikali imefail kucomply so no excuses
Sent using Jamii Forums mobile app
Subir tamko laoLakin wao wanatujua zaidi kuliko tunavyodhani awatujui
Halafu atakuwa anatembea nazo kwenye mikoba, kuvigawia vizee vya kike vinavyomsujudia mabarabarani.Kama mbwai na iwe mbwai Tu Bora tukose wote Tu huo mkopo maana huyu Mzee akipewa hizo pesa atazidi KUTAMBA!!