Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Ni biringanya😁Ila sio tango hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni biringanya😁Ila sio tango hilo
Hao gaysCode Ni rahisi Sana ila kimbembe Ni kubaini KE na ME Kati yao.Sijajua Kama wa kushoto ndo ME au KE
Kwa hiyo Hakuna KE hapo? Na umejuaje Kama wote Ni vidumeHao gays
huyo wa upande wa kulia ndio anajifanya kidume
miadi ya kula mbunyeNani kaelewa hii code ya hawa watu
Mkuu wewe sio la pili BMe:hellow
Ke:yes
me:nakupenda
ke;nakupenda pia
me:nmemiss tunda
me:nmemiss tango
ke:mda gani?
me:saa ngapi utapata nafasi?
ke19:00
ke;poa
me😛oa
mkuu sijui me/ke ila unaibiwa!pole
Fake P mambo yako hayo
Code rahisi sana hata sisi la pili B tunaielewa
miadi ya kula mbunye
NomaAna onesha amemiss 🍑 kushoto ana onesha amemiss
Soda kunywa wewe upunguze presha mkuuMkuu wewe sio la pili B
tuma no nkupitie soda umeielezea kinaugaubaga
Nmeshutuliwa na hiii tafsiri nmepata presha kumbe ananichitiiii
Km huna D mbili huwezi kuelewa 😂Me:hellow
Ke:yes
me:nakupenda
ke;nakupenda pia
me:nmemiss tunda
me:nmemiss tango
ke:mda gani?
me:saa ngapi utapata nafasi?
ke19:00
ke;poa
me😛oa
mkuu sijui me/ke ila unaibiwa!pole
Fake P mambo yako hayo
Code rahisi sana hata sisi la pili B tunaielewa
Legendary 😂Ana onesha amemiss 🍑 kushoto ana onesha amemiss 🥒
Wa kulia ME kamiss tunda, KE naye kajibu kamiss hogo. Hujaelewa nini hapo??Kwanini unasema wa kulia? Elezea kidogo
Kuna mtu kasema wote mashoga hao 😆Legendary 😂
Huu ni uhuni wa Thebroker na kidem chakeNani kaelewa hii code ya hawa watu
Kushoto ni KENani kaelewa hii code ya hawa watu
Hamna bana hao ni KE na ME wachepukaji wabobezi 😂😂😂Kuna mtu kasema wote mashoga hao 😆
Basi yeye ndo kivulana chenyewe..!!umetoa wap screenshot ya mimi na kivulana changu?
Kuna mwamba juu huko kasema wote XHRTHHDS 😆 mambo ya kazi za fasihi hayo kila mtu ana tafsiri anavyo ona yeyeHamna bana hao ni KE na ME wachepukaji wabobezi 😂😂😂
Sasa kwanini unatoa siri yetu tena?umetoa wap screenshot ya mimi na kivulana changu?