Nitafungua kesi dhidi ya app lock iliyoleta mgogoro katika ndoa yangu

Nitafungua kesi dhidi ya app lock iliyoleta mgogoro katika ndoa yangu

Niliyompa wapi walipeana wenyewe huko huko juu.
Aaah! Ni wewe tu. Unaona Adamu na Eva walitoa boko wakampa nguvu ( authority ). Shetani usimpo nguvu hana nguvu.. ukimpa nguvu za kupiga miti nje, basi utapiga tu
 
Aaah! Ni wewe tu. Unaona Adamu na Eva walitoa boko wakampa nguvu ( authority ). Shetani usimpo nguvu hana nguvu.. ukimpa nguvu za kupiga miti nje, basi utapiga tu
Usitusingizie bwana, alompa nguvu unamjua. Sie tunasingiziwa tu.
 
Nunua simu yenye native applocker kwenye settings zake huwa hazifail hata siku moja, hizi app zakudownload zinatakiwa ziwe zina run muda wote sasa kama simu yako ina ram ndogo au inaoptimize power automatic ikisimamisha background activities kwa kuiforce stop app kifuatacho ni app kusimama na usalama unakua haupo tena, usisahau Ukimwi upo na unaua.
 
Wewe acha siasa, sisi tunaangushiwa jumba bovu tu. Ila alompa nguvu unamjua.
Alie mpa nguvu na wewe kakupa nguvu.. kwaiyo shetani akikushawishi unipe tunda utanipea kwani ? Ndio utajua mwenye maamuzi ni wewe na sio shetani
 
Salam,

Kuna app locker (kificha faragha) naweza kuita hivyo, kimenihadaa na kuniaminisha kuwa naweza kuficha SMS na Chats lakini kimeniumbua na kusababisha mtafaruku ndani ya nyumba baada ya wife kubaini chat (mazungumzo) baina yangu na mipango kando yangu.

App hiyo inayotumia finger prints kuna mda inajisahau na kushindwa kifanya kazi yake.

Kila kitu kinakuwa wazi,

Hata ile secure SMS ilishashindwa kaziya kudhibiti udukuzi huo.

Wife kanibamba kila kitu nikabaki mudomo wazi!! Dadek!

Kama nkisoma vizuri terms& conditions za app hiyo naweza kuishitaki na kujichotea mamilioni.

Can't rate even a half star to that shit!!

Nimeamini simu za Button ndio hazikoseagi kabisa kuhusu privacy lock.

Hapa siku ya 3 sasa napambana na kesi za nyumbani. Mzigo sipewi Hata kula hatuli pamoja nimepewa Ban'

Wadau ni IPI app lock nzuri isiofanya makosa.

Asantr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni wewe kutokua mwaminifu kwa mwenza wako, tatizo sio app lock, kwani app lock ikikutuma kuchepuka? Kama haikukutuma basi wewe ndio chanzo cha mgogoro
 
Eti fingerprint lock 🤣🤣si ukilala anaweza kuchukua kidole chako tu afungue hio lock.
Siku za mwizi 40,zako zilishatimia tu!
 
Back
Top Bottom