LUFRA LUFTANSA
Senior Member
- Jul 2, 2018
- 159
- 189
ahahhaha hatari sana! !Mm picha zangu za kugegeda dogo aliziona ikanibidi ninunue iphone niachane na simu za vikokotoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahhaha hatari sana! !Mm picha zangu za kugegeda dogo aliziona ikanibidi ninunue iphone niachane na simu za vikokotoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo kwa simu zote za android mkuu ila hizi lartestKuna ile iko built in kwenye simu za xiaomi hizo hata notifications haionyeshi kilichoingia
Sent using Jamii Forums mobile app
NOIpo kwa simu zote za android mkuu ila hizi lartest
"Hatikvah"
Siongelei issue ya ku disable kwenye notifications, hiyo ya xiaomi message inaingia na inakwambia message imeingia but content ya message imefichwa
Siongelei issue ya ku disable kwenye notifications, hiyo ya xiaomi message inaingia na inakwambia message imeingia but content ya message imefichwa
Siku unakuja kusikia, Mke amuua mumewe kwa kisukumio cha Chapati ndio haya. Umekamatwa una laghai ndoa yako, badala ya kuwa mpole bado unatafuta namna ya kuficha uzinzi wako. Nikukumbushe tu ndugu, mkeo ndie aliyebeba uhakika wa kuishi hapa duniani baada ya Muumba.
Sasa mkuu hii vault ambayo ni free mbona hailock wakat nimesetVaulty ina weza kutengeneza vaulty tatu mpk nne na unaficha huko ya kwanza unaeka picha ambazo watoto hawana ruhusa vaulty zingine za kumficha wife
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalizo ukichomeka simu kwenye computer kwa lengo la kuhamisha picha kama umeficha huko picha zako Lazima macho yakutoke siku moja nilikuwa nina hamisha picha kwenye simu na wife dah mara hilo [emoji134][emoji134][emoji134]![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]!!!!
!dah dah dah dah nikasema yani Leo nina hama kweye ma group yote watu kutumiana picha za wana wake ata kama anafanya biashara ya kuuza hizo nguo kwanini asipige picha tu hivyo viatu na nguo peke yake!
Nikaongeza wanauza nguo na hivyo viatu
Sema sio vizuri [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
!!
Chukuwa 20p pro ni kila kitu kina kuwa salama ata simu huna aja ya kuogopa mtu Kushika
View attachment 988811
App lock nzuri ni kuachana na mpango kando! Hii imethitishwa from heaven 😜!Salam,
Kuna app locker (kificha faragha) naweza kuita hivyo, kimenihadaa na kuniaminisha kuwa naweza kuficha SMS na Chats lakini kimeniumbua na kusababisha mtafaruku ndani ya nyumba baada ya wife kubaini chat (mazungumzo) baina yangu na mipango kando yangu.
App hiyo inayotumia finger prints kuna mda inajisahau na kushindwa kifanya kazi yake.
Kila kitu kinakuwa wazi,
Hata ile secure SMS ilishashindwa kaziya kudhibiti udukuzi huo.
Wife kanibamba kila kitu nikabaki mudomo wazi!! Dadek!
Kama nkisoma vizuri terms& conditions za app hiyo naweza kuishitaki na kujichotea mamilioni.
Can't rate even a half star to that shit!!
Nimeamini simu za Button ndio hazikoseagi kabisa kuhusu privacy lock.
Hapa siku ya 3 sasa napambana na kesi za nyumbani. Mzigo sipewi Hata kula hatuli pamoja nimepewa Ban'
Wadau ni IPI app lock nzuri isiofanya makosa.
Asantr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo humpendi mkeo na unakuwa umedhamiria kuharibu kabisa ndoaIlo swala la kutokupewa mzigo ningekuwa mimi aah nahama nyumba naenda mpango kando mazima ninyime vyote ila sio mzigo we...
Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani ana nguvu uliyompaYaani bado unataka app nyingine na sio kuacha uzinzi!!
Ama kweli shetani ana nguvu.
Niliyompa wapi walipeana wenyewe huko huko juu.Shetani ana nguvu uliyompa