Nitafungua kesi dhidi ya app lock iliyoleta mgogoro katika ndoa yangu

Nitafungua kesi dhidi ya app lock iliyoleta mgogoro katika ndoa yangu

Hapo ni kwa samsung unachagua option moja wapo
Screenshot_2019-01-08-08-45-35.jpeg


"Hatikvah"
 
Apps uchukue bure kwa shida zako alafu utake hela ukiona app iko bure ni chache zinamilikiwa na company za maana ningine ni developers tu tena nyingine zinakua kama test au mtu anafanya majaribio so anataka watu mtumie na mseme mapungufu ya hiyo app then alekebishe alafu iwe pro ndo aweke sokon we lia na ujinga wako tu basi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umeangalia hiyo screenshot vizuri? Kuna option ya ku hide ,ku show na ku dissable ukichagua ya ku hide message itaingia ila content yake haitaonekana (means mtu hawezi kusoma tzt zako zzte. Na hata kwenye tecno ipo hiyo option
Siongelei issue ya ku disable kwenye notifications, hiyo ya xiaomi message inaingia na inakwambia message imeingia but content ya message imefichwa

"Hatikvah"
 
Pole sana boss. Nashangaa mpk wengine wanamlaumu mshkaji kwa mistake iliyotokeailihali more than 90% tunachepuka mara moja moja. Hiyo ni kama ajali kazini mkuu.

Ila hujatuambia baada ya kukutwa na bibi Pepsi,nini kilifuata (namaanisha maswali yake na majibu yako). Cha kufanya next time ukikutwa USIKUBALI MAKOSA KIRAHISI HATA SIKU MOJA. Labda kama umekutwa red-handed, japo hapo nao kuna wabishi wanagoma.

Bisha. Kataa. Kataa kabisa. Atalia. Atanuna. Atakasirika. Mwisho wa siku yanaisha.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh hili nalo neno
Siku unakuja kusikia, Mke amuua mumewe kwa kisukumio cha Chapati ndio haya. Umekamatwa una laghai ndoa yako, badala ya kuwa mpole bado unatafuta namna ya kuficha uzinzi wako. Nikukumbushe tu ndugu, mkeo ndie aliyebeba uhakika wa kuishi hapa duniani baada ya Muumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ase Poole, ngoja niichek huyo sasa maana ciwez kujiuzulu mapema hvi
Angalizo ukichomeka simu kwenye computer kwa lengo la kuhamisha picha kama umeficha huko picha zako Lazima macho yakutoke siku moja nilikuwa nina hamisha picha kwenye simu na wife dah mara hilo [emoji134][emoji134][emoji134]![emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]!!!!
!dah dah dah dah nikasema yani Leo nina hama kweye ma group yote watu kutumiana picha za wana wake ata kama anafanya biashara ya kuuza hizo nguo kwanini asipige picha tu hivyo viatu na nguo peke yake!
Nikaongeza wanauza nguo na hivyo viatu
Sema sio vizuri [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
!!
Chukuwa 20p pro ni kila kitu kina kuwa salama ata simu huna aja ya kuogopa mtu Kushika
View attachment 988811

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam,

Kuna app locker (kificha faragha) naweza kuita hivyo, kimenihadaa na kuniaminisha kuwa naweza kuficha SMS na Chats lakini kimeniumbua na kusababisha mtafaruku ndani ya nyumba baada ya wife kubaini chat (mazungumzo) baina yangu na mipango kando yangu.

App hiyo inayotumia finger prints kuna mda inajisahau na kushindwa kifanya kazi yake.

Kila kitu kinakuwa wazi,

Hata ile secure SMS ilishashindwa kaziya kudhibiti udukuzi huo.

Wife kanibamba kila kitu nikabaki mudomo wazi!! Dadek!

Kama nkisoma vizuri terms& conditions za app hiyo naweza kuishitaki na kujichotea mamilioni.

Can't rate even a half star to that shit!!

Nimeamini simu za Button ndio hazikoseagi kabisa kuhusu privacy lock.

Hapa siku ya 3 sasa napambana na kesi za nyumbani. Mzigo sipewi Hata kula hatuli pamoja nimepewa Ban'

Wadau ni IPI app lock nzuri isiofanya makosa.

Asantr.

Sent using Jamii Forums mobile app
App lock nzuri ni kuachana na mpango kando! Hii imethitishwa from heaven 😜!
 
Back
Top Bottom