Nitafungua kesi dhidi ya app lock iliyoleta mgogoro katika ndoa yangu

Nitafungua kesi dhidi ya app lock iliyoleta mgogoro katika ndoa yangu

Jinga sana wewe........kwanza haitakiwi kuweka lock za ajabu ajabu kwenye simu yako hiyo itamfanya akustukie, weka patten za kawaida tu tena nyepesi kabisa kuzitumia na yeye mfundishe azijue, lakini kikubwa usipende kuacha sms kwenye simu yako bwege wewe, unaporudi nyumbani hakikisha umefuta kila kitu na mipango yako yote ya kando ijue kwamba sasa unaingia home........kama kuna uliyemdanganya kuwa huna wife basi mwambie kwamba unaingia kwenye kikao cha kazini asipige wala kutuma sms........mnapokamatwa na vidhibiti kama hivi mnatutia aibu sisi ma legendary wa hizo tasnia koroma wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa..cc espy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam,

Kuna app locker (kificha faragha) naweza kuita hivyo, kimenihadaa na kuniaminisha kuwa naweza kuficha SMS na Chats lakini kimeniumbua na kusababisha mtafaruku ndani ya nyumba baada ya wife kubaini chat (mazungumzo) baina yangu na mipango kando yangu.

App hiyo inayotumia finger prints kuna mda inajisahau na kushindwa kifanya kazi yake.

Kila kitu kinakuwa wazi,

Hata ile secure SMS ilishashindwa kaziya kudhibiti udukuzi huo.

Wife kanibamba kila kitu nikabaki mudomo wazi!! Dadek!

Kama nkisoma vizuri terms& conditions za app hiyo naweza kuishitaki na kujichotea mamilioni.

Can't rate even a half star to that shit!!

Nimeamini simu za Button ndio hazikoseagi kabisa kuhusu privacy lock.

Hapa siku ya 3 sasa napambana na kesi za nyumbani. Mzigo sipewi Hata kula hatuli pamoja nimepewa Ban'

Wadau ni IPI app lock nzuri isiofanya makosa.

Asantr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katafute High end device yoyote ambayo ina privacy ya moja kwa moja na siyo swala la kudownload app....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam,

Kuna app locker (kificha faragha) naweza kuita hivyo, kimenihadaa na kuniaminisha kuwa naweza kuficha SMS na Chats lakini kimeniumbua na kusababisha mtafaruku ndani ya nyumba baada ya wife kubaini chat (mazungumzo) baina yangu na mipango kando yangu.

App hiyo inayotumia finger prints kuna mda inajisahau na kushindwa kifanya kazi yake.

Kila kitu kinakuwa wazi,

Hata ile secure SMS ilishashindwa kaziya kudhibiti udukuzi huo.

Wife kanibamba kila kitu nikabaki mudomo wazi!! Dadek!

Kama nkisoma vizuri terms& conditions za app hiyo naweza kuishitaki na kujichotea mamilioni.

Can't rate even a half star to that shit!!

Nimeamini simu za Button ndio hazikoseagi kabisa kuhusu privacy lock.

Hapa siku ya 3 sasa napambana na kesi za nyumbani. Mzigo sipewi Hata kula hatuli pamoja nimepewa Ban'

Wadau ni IPI app lock nzuri isiofanya makosa.

Asantr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jishitaki mwenyewe na ujirekebishe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan pattern anazjuaga ata niwekeje! Kama izo sumsung zna finger print sawa kabisa, itanibidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumua vault pro version ila niakulipia,yaaaani inaficha vitu, na yenyewe inajificha intruder hawezi Iona maana inapotea kwenye menu/apps list hata aende kwenye list of installed apps hatoina kamwe, ukitaka ku access una dial ussd codes(*....#)of your choice Kama pin ndo Ina appear...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata uweke app locker gani, kama ume install true caller kwenye simu yako utaumbuka. Ubaya true caller ukienda upande wa SMS insonesha zote hata zile ulizo hide kwenye locker.
Nashauri un install true caller

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yaani hamna kitu inatesa kama umempa wife simu labda anaangalia picha za tukio fulani mliloshiriki halafu ghafla unasikia msg zinaingia.. unatamani umrukie uchukue simu lakini wapi. Ila mara nyingi Mungu huwa anasaidia unakuta wala msg zenyewe sio zile mbaya..[emoji3][emoji3]
Kweli wanaume baba etu mmoja,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kaka somo zuri, ila kusema nimpe had pattern huo sasa ulokole!
Jinga sana wewe........kwanza haitakiwi kuweka lock za ajabu ajabu kwenye simu yako hiyo itamfanya akustukie, weka patten za kawaida tu tena nyepesi kabisa kuzitumia na yeye mfundishe azijue, lakini kikubwa usipende kuacha sms kwenye simu yako bwege wewe, unaporudi nyumbani hakikisha umefuta kila kitu na mipango yako yote ya kando ijue kwamba sasa unaingia home........kama kuna uliyemdanganya kuwa huna wife basi mwambie kwamba unaingia kwenye kikao cha kazini asipige wala kutuma sms........mnapokamatwa na vidhibiti kama hivi mnatutia aibu sisi ma legendary wa hizo tasnia koroma wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumua vault pro version ila niakulipia,yaaaani inaficha vitu, na yenyewe inajificha intruder hawezi Iona maana inapotea kwenye menu/apps list hata aende kwenye list of installed apps hatoina kamwe, ukitaka ku access una dial ussd codes(*....#)of your choice Kama pin ndo Ina appear...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ase, asantr how much it costs, maana ile ya free nimeieka nkaitoa, sijailewa kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom