Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Aaah! Ni wewe tu. Unaona Adamu na Eva walitoa boko wakampa nguvu ( authority ). Shetani usimpo nguvu hana nguvu.. ukimpa nguvu za kupiga miti nje, basi utapiga tuNiliyompa wapi walipeana wenyewe huko huko juu.
Usitusingizie bwana, alompa nguvu unamjua. Sie tunasingiziwa tu.Aaah! Ni wewe tu. Unaona Adamu na Eva walitoa boko wakampa nguvu ( authority ). Shetani usimpo nguvu hana nguvu.. ukimpa nguvu za kupiga miti nje, basi utapiga tu
Aaah! Walikula tunda kimasihara, bwana yule akachukua.. dhambi unafanya ukiamua na ukiamua hufanyi dhambiUsitusingizie bwana, alompa nguvu unamjua. Sie tunasingiziwa tu.
Wewe acha siasa, sisi tunaangushiwa jumba bovu tu. Ila alompa nguvu unamjua.Aaah! Walikula tunda kimasihara, bwana yule akachukua.. dhambi unafanya ukiamua na ukiamua hufanyi dhambi
Alie mpa nguvu na wewe kakupa nguvu.. kwaiyo shetani akikushawishi unipe tunda utanipea kwani ? Ndio utajua mwenye maamuzi ni wewe na sio shetaniWewe acha siasa, sisi tunaangushiwa jumba bovu tu. Ila alompa nguvu unamjua.
Tatizo ni wewe kutokua mwaminifu kwa mwenza wako, tatizo sio app lock, kwani app lock ikikutuma kuchepuka? Kama haikukutuma basi wewe ndio chanzo cha mgogoroSalam,
Kuna app locker (kificha faragha) naweza kuita hivyo, kimenihadaa na kuniaminisha kuwa naweza kuficha SMS na Chats lakini kimeniumbua na kusababisha mtafaruku ndani ya nyumba baada ya wife kubaini chat (mazungumzo) baina yangu na mipango kando yangu.
App hiyo inayotumia finger prints kuna mda inajisahau na kushindwa kifanya kazi yake.
Kila kitu kinakuwa wazi,
Hata ile secure SMS ilishashindwa kaziya kudhibiti udukuzi huo.
Wife kanibamba kila kitu nikabaki mudomo wazi!! Dadek!
Kama nkisoma vizuri terms& conditions za app hiyo naweza kuishitaki na kujichotea mamilioni.
Can't rate even a half star to that shit!!
Nimeamini simu za Button ndio hazikoseagi kabisa kuhusu privacy lock.
Hapa siku ya 3 sasa napambana na kesi za nyumbani. Mzigo sipewi Hata kula hatuli pamoja nimepewa Ban'
Wadau ni IPI app lock nzuri isiofanya makosa.
Asantr.
Sent using Jamii Forums mobile app