Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Pombe huweka uhalisia wako. Hivyo pombe ilivyokufanya;ndivyo ulivyo.

Kufanya kosa si kosa bali kulirudia.
Iimetokea na huwezi kubadili yaliyopita.

Chakufanya; jitahidi usirudie tena.
 
Pombe huweka uhalisia wako. Hivyo pombe ilivyokufanya;ndivyo ulivyo.

Kufanya.kosa si kosa bali kulirudia.
I.etokea na huwezi kubadili yaliyopita.

Chakufanya; jitahidi usirudie tena.
Kwakweli siwezi kurudia tena
 
Tulishakubaliana kikaoni mnaokunywaga kahawa endeleeni na kahawa zenu msiguze ulanzi wala, kihambule wala wanzuki, hamusikii!

Ona sasa aibu kwa taifa watoto famili na wadada wa kazini kwenu
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Kunywa Tena pombe alafu Anza jifanye unaanza kuwatopokea Kwa vitu vya akili nyingi.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Usifanye kitu kaa kimya kama hakuna kitu kilitokea
 
Inaonekana ulifanya vituko vya kawaida tu kuongea maneno ya hapa na pale ambayo si matusi... Watu wamekuchukulia kwa ukubwa sana kwasababu hawajah kukuona ukilewa au kusikia kama unakunywa pombe...
Chakufanya nakushauri jivike ujasiri, najua mna vikao vya kiofisi au idara basi kikitokea kikao chochote mwishoni wakati boss wako anataka kufunga kikao, muombe dakika 1 mwambie una jambo unataka kuchangia...
Akikuruhusu usiongee maneno mengi wewe sema "ndug zangu nashukuru kwa nafasi hii nipo mbele zenu kuwaomba radhi wale wote niliwakosea siku ile ambayo nilionja pombe nikajikuta naleta masihara yasiyo mazuri kwenu, naombeni mnisamehe sana, Asanteni..."
Baada ya kusema maneno hayo kaa chini na ukae kimya, ukitoka hapo endelea na maisha yako kama vile hakuna kitu umewah kufanya na kama vile hujawah ongea chochote ktk kikao... Na ikitokea mtu anakutania kuhusu siku uliyokunywa wewe kaa kimya usimbishie wala kukataa sana sana mwambie yalipita haina haja kuyarudia...
All in all Mungu akusaidie sana usirudie pombe...
 
Kausha, endelea na maisha kama hamna kilichotokea, yalinikuta sana hayo enzi nilikuwa nalewa
 
Inaonekana ulifanya vituko vya kawaida tu kuongea maneno ya hapa na pale ambayo si matusi... Watu wamekuchukulia kwa ukubwa sana kwasababu hawajah kukuona ukilewa au kusikia kama unakunywa pombe...
Chakufanya nakushauri jivike ujasiri, najua mna vikao vya kiofisi au idara basi kikitokea kikao chochote mwishoni wakati boss wako anataka kufunga kikao, muombe dakika 1 mwambie una jambo unataka kuchangia...
Akikuruhusu usiongee maneno mengi wewe sema "ndug zangu nashukuru kwa nafasi hii nipo mbele zenu kuwaomba radhi wale wote niliwakosea siku ile ambayo nilionja pombe nikajikuta naleta masihara yasiyo mazuri kwenu, naombeni mnisamehe sana, Asanteni..."
Baada ya kusema maneno hayo kaa chini na ukae kimya, ukitoka hapo endelea na maisha yako kama vile hakuna kitu umewah kufanya na kama vile hujawah ongea chochote ktk kikao... Na ikitokea mtu anakutania kuhusu siku uliyokunywa wewe kaa kimya usimbishie wala kukataa sana sana mwambie yalipita haina haja kuyarudia...
All in all Mungu akusaidie sana usirudie pombe...
Ahsante mkuu kwa kunipa ujasiri angalau sasa naona ahueni and
 
Back
Top Bottom