Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili hizi bila shaka ulivolewa walikufirimba.Pumbavu mama yako mzazi
Kunywa Tena pombe alafu Anza jifanye unaanza kuwatopokea Kwa vitu vya akili nyingi.Habari zenu ndugu zangu ,
Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.
Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno
Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema
Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile
HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO
NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
NAKAZIA HAPA1. Waombe msamaha unaojua uliwakosea;
2. Azma ya kutokunywa tena iwe dini kwako;
3. Ilimradi hurudii kunywa, heshima itarudi tu polepole, ni suala la wakati - Acha hofu.
Usifanye kitu kaa kimya kama hakuna kitu kilitokeaHabari zenu ndugu zangu ,
Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.
Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno
Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema
Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile
HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO
NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
HahaaaaaaHivi ndio wewe ulimtukana mkuu wa mkoa sio,
Ahsante mkuu kwa kunipa ujasiri angalau sasa naona ahueni andInaonekana ulifanya vituko vya kawaida tu kuongea maneno ya hapa na pale ambayo si matusi... Watu wamekuchukulia kwa ukubwa sana kwasababu hawajah kukuona ukilewa au kusikia kama unakunywa pombe...
Chakufanya nakushauri jivike ujasiri, najua mna vikao vya kiofisi au idara basi kikitokea kikao chochote mwishoni wakati boss wako anataka kufunga kikao, muombe dakika 1 mwambie una jambo unataka kuchangia...
Akikuruhusu usiongee maneno mengi wewe sema "ndug zangu nashukuru kwa nafasi hii nipo mbele zenu kuwaomba radhi wale wote niliwakosea siku ile ambayo nilionja pombe nikajikuta naleta masihara yasiyo mazuri kwenu, naombeni mnisamehe sana, Asanteni..."
Baada ya kusema maneno hayo kaa chini na ukae kimya, ukitoka hapo endelea na maisha yako kama vile hakuna kitu umewah kufanya na kama vile hujawah ongea chochote ktk kikao... Na ikitokea mtu anakutania kuhusu siku uliyokunywa wewe kaa kimya usimbishie wala kukataa sana sana mwambie yalipita haina haja kuyarudia...
All in all Mungu akusaidie sana usirudie pombe...