Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Hilo limeshatokea huwezi rekebisha. Jambo la msingi endelea kuwa yule wa zamani ambaye wanamfahamu. Kama kuna group la wafanyakazi Apologise kwa chochote ulichofanya ambacho huenda kiliwakwaza baadhi. Maneno machache tu usijieleze sana litapita tu. Itakusumbua ila hiyo siyo hatia ya damu. Usijifichefiche kutana nao itakusaidia fedheha kutokuwa ya muda mrefu kwa kukutana na mmoja mmoja
 
Jitundike tu fasta
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
 
Kama wanajua ulilewa,usiwe na hofu! Watajua ni pombe na usiogope kuwaambia samahani jamani zilikua ni pombe,baada ya hapo mute tu,time will heal na yatasahaulika...wenzio tulizingua zaidi ya hapo na leo ni kama haya kutokea.muda unaponya
 
Kwa kimalkia wanasema "don't give a f@ck" acha waseme, wewe ishi kama ulivyokua unaishi zamani.

Kuomba msamaha ni kujishusha zaidi, acha wajue boss akilewa ni mchangamfu.
 
Kama wanajua ulilewa,usiwe na hofu! Watajua ni pombe na usiogope kuwaambia samahani jamani zilikua ni pombe,baada ya hapo mute tu,time will heal na yatasahaulika...wenzio tulizingua zaidi ya hapo na leo ni kama haya kutokea.muda unaponya
Ahsante kunitia nguvu kaka
 
Heri wewe! Kuna mwenzio alimkojolea mama mkwe katikati ya kikao cha familia
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Hiyo heshima haikuwa yako. Ndo maana imeondoka. Ingekuwa yako ungekuwa nayo. So huwezi irudisha sababu si yako.
 
Hapo ulipowaambia watu unawapenda vibaya kama uliwaambia wanaume wenzako lakini kama uliwaambia ni wanawake hamna shida.
 
Ahsante kunitia nguvu kaka
Then kati ya hao wote kama kuna wanywaji ndio hawezi hata kukuwazia maana washaona zaidi ya hayo... don't feel guilty pengine walichukulia ni pombe tu na washasahau.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Acha ujinga.

Ni akili ya pombe hiyo inajulikana ila kama utarudia mara mbili au tatu hapo kidogo itakuwa ni shida .
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Mimi ninakishauri mambo mawili uchague Moja;

Mosi, nenda kwa mwajiri wako uombe uhamisho. Ukihamia sehemu nyingine utaanza upya.

Pili, kunywa sumu na uache ujumbe!
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Kunywa pombe tukujue
 
Nenda kwa babu kaoge... mweleze mkasa mzima utaoga maelekezo ya kuondoa mikosi nuksi na kila aina ya vijicho..

ukipenda uje inbox nikupe namba ya mtaalam wa mitishamba kutoka Katoro myajenge
Huyo mtaalam yuko dar?
 
Mimi ninakishauri mambo mawili uchague Moja;

Mosi, nenda kwa mwajiri wako uombe uhamisho. Ukihamia sehemu nyingine utaanza upya.

Pili, kunywa sumu na uache ujumbe!aisee nimekustiri tuu
 
Sijakuomba wewe unaweza kaa kimya hunisaidii chochote zaidi ya chuki na unaonyesha dhahiri unaroho yakorosho boss
Una akili ndogo thats why unajiliza hapo. Poor mind
 
Back
Top Bottom