Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nenda kwa babu kaoge... mweleze mkasa mzima utaoga maelekezo ya kuondoa mikosi nuksi na kila aina ya vijicho..

ukipenda uje inbox nikupe namba ya mtaalam wa mitishamba kutoka Katoro myajenge
Katoro ya Geita mkuu?
 
Apitie hapa ataelewa...nna jamaa qngu yey alilewa hadi akavua nguo...ila next day kazi kama kawa....nlishangaa sana ule ujasiri...yaan rungu nje nje jamii mzimq inamtazama ila hakuhofia chochote
Kuna siku nililewa nikamtongoza mke mdogo wa mwenye bar...kesho kanipigia kuuliza eti niko serious _nikasema ndio....nikampitia kiukweli.

Tabata
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Ukikosa heshima mtaani au kazini kaweke heshima baa 😀. Nenda baa kapige vyombo kuzidi hapo utajenga heshima baa!
 
Kuna siku nililewa nikamtongoza mke mdogo wa mwenye bar...kesho kanipigia kuuliza eti niko serious _nikasema ndio....nikampitia kiukweli.

Tabata
Hahaha...huwa inapandisha ma confidence si poa..jamaa itakuwa ndo form one wa gambe
 
Kwani hio heshima inakusaidia Nini wakati huu ambao tyar imeshashuka!!! Achana nayo..

Focus masuala yako ya kazi tuu.., na kwa namna gani unaingiza pesa!! Watu wanalewa wanacheza na warembo kibao!!

Wanawashika matako maweita, na walevi wenzie itakuwa wew?

Kila mtu anajua ilikua pombe!! Cha msingi furahia tuu..

But in Long-run pombe sio nzuri kiroho, na ndo kitu inakutesa
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Nlivyoelewa ni kwamba 1. Wewe siyo mnywaji au unakunywa kidogo na hulewi 2. Ni siku hiyo tu ulikunywa na kulewa na kufanya vituko. Ushauri: hupaswi kuona aibu kwani heshima yako iko pale pale. Wewe ndiye unadhani imepungua kumbe haijapungua. Hii ni kwa sababu kila mtu anajua ulifanya vile kwa sababu ya pombe na siyo kawaida yako. Badala ya kuona aibu, jichangaye nao huku ukiwaambia wakueleze ulivyofanya vituko. Yaani fanya kama iwe ni kichekesho lakini mkishacheka wewe sema ''daa sijui kama nitarudia tena kunywa namna ile maishani'' Pengine hujui tu lakini kwenye parts za sehemu za kazi watu hufanya vituko mno. Laiti ungehudhuria part yenye wafanyakazi wazungu ndiyo ungejua kweli pombe ni mwanaharamu. Miaka ya nyuma kuna mfagiaji wa ofisi aliwahi kutishia kumfukuza kazi meneja kwa sababu tu alilewa kwenye part ya kufunga mwaka. Kwa kifupi ni kuwa ni wewe una wasiwasi na aibu tu lakini jambo kama hili hutokea sana sana.
 
Watu wanalewa kwenye pati za kazini mpaka wanajisaidia jikoni na wapo tu.

Wengine walilewa wakavua nguo tena mabosi na heshima zao, na wapo tu.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
UKIONA UNALEWA NA KUROPOKA,UJUE WEWE NI MPUMBAVU ULIYECHANGAMKA SEMA UNAKOSA NAFASI YA KUIONYESHA JAMII UPUMBAVU WAKO!
 
Usirudie tena kulewa, binadamu tuna asili ya kusahau kadri muda wa tukio unavyoondoka.Kwa hiyo na wewe aibu yako itasahaulika.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
We shida yako ipo kichwan na itakua ngumu sana kuitibu, pia itakua rahisi kuitibu, kuna wenzako walishawahi vua nguo mbele za watu na waka move on ww unataka ku delete the past which is not possible, achana na past we move on bro
 
Jamii yetu imekuwa na watu wengi hasa wenye matatizo ya afya ya akili. Ukayavuruge mwenyewe kwa upumbavu wako uje humu kuomba namna ya kuyasahihisha!
 
Kwani hio heshima inakusaidia Nini wakati huu ambao tyar imeshashuka!!! Achana nayo..

Focus masuala yako ya kazi tuu.., na kwa namna gani unaingiza pesa!! Watu wanalewa wanacheza na warembo kibao!!

Wanawashika matako maweita, na walevi wenzie itakuwa wew?

Kila mtu anajua ilikua pombe!! Cha msingi furahia tuu..

But in Long-run pombe sio nzuri kiroho, na ndo kitu inakutesa
Ahsante boss
 
Jamii yetu imekuwa na watu wengi hasa wenye matatizo ya afya ya akili. Ukayavuruge mwenyewe kwa upumbavu wako uje humu kuomba namna ya kuyasahihisha!
Sijakuomba wewe unaweza kaa kimya hunisaidii chochote zaidi ya chuki na unaonyesha dhahiri unaroho yakorosho boss
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Vumilia yatapita maisha yatasonga.. Binadamu tumeumbiwa kusahau.. Ila next ukitaka kunywa zingatia haya matatu muhimu
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini..
 
Kaka
Vumilia yatapita maisha yatasonga.. Binadamu tumeumbiwa kusahau.. Ila next ukitaka kunywa zingatia haya matatu muhimu
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Kabla ya kunywa pombe mbona hujatushikisha, au ulidhani Sisi si chochote si lolote katika maisha yako?

Poor Brain mzabzab Mbaga Jr
 
Back
Top Bottom