Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Waite halafu kunywa tena na wazingue tena, baada ya hapo watachukulia kawaida..!!

Sio kila moto unazimwa kwa maji, sometimes moto unazimwa kwa moto..!!
kwanza anajishtukia tu hta hawajali kabisa, na ukute washasahau kwann ujitie hatia wakati hukumpiga mtu , kila mtu ana faults zake kibao, ukiona ana shughulika na yako bs ana matatizo
 
Unajua kwa nini?
Kwa msaada wa Gemini AI hapa chini kuna sababu kwa nini watu wakilewa kupitiliza hawawezi kusema uongo / kudanganya.


1. Kulegea kwa Udhibiti wa Akili (Inhibition Loss) – Pombe hupunguza uwezo wa ubongo wa kujidhibiti, hivyo mtu anaweza kusema mambo ambayo kawaida angeyaficha au kuyachuja.


2. Kuongezeka kwa Uwazi (Honest Drunk Effect) – Watu wakilewa mara nyingi huwa na ujasiri wa kusema hisia zao za kweli kwa sababu hawahisi aibu au hofu ya matokeo.


3. Kupungua kwa Uwezo wa Kufikiria kwa Undani – Kudanganya kunahitaji mtu afikirie, apange, na ajikinge ili uongo wake usijulikane. Pombe hupunguza uwezo wa mtu wa kupanga, hivyo kufanya iwe vigumu kudanganya kwa mafanikio.


4. Mabadiliko ya Hisia na Maadili – Pombe inaweza kuathiri maadili ya mtu kwa muda mfupi, na kuwafanya wasiwe na msukumo wa kuficha ukweli.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Heshima hujengeka kwa miaka na miaka lakini huvunjwa siku Moja TU 🤣

Kiufupi kioo kikishavunjika hata ukijaribu kukirudishia hakitakuwa kama mwanzo
 
😹😹😹 Tatizo hajaongea wanywaji tumpe nondo..!!
Walokole ndo mitakataka gani? 🤣
Ana dharau sana kijana , aambiwe tu pombe zilishatukutanisha na wakubwa na tukalamba madili mpaka kesho yake unajitazama kwa kioo unacheka tu😆
 
kwanza anajishtukia tu hta hawajali kabisa, na ukute washasahau kwann ujitie hatia wakati hukumpiga mtu , kila mtu ana faults zake kibao, ukiona ana shughulika na yako bs ana matatizo
Anaogopa macho ya watu, wakati kanisani kwetu kulikuwa na upadrisho mapadri wamelewa na wanabambia nyimbo ya “Mimina ziteremshe tuzipokee bwana” 😹😹

Na kesho wako altareni wanaendesha misa km hakuna kilichotokea..!! 🤣
 
Kwa msaada wa Gemini AI hapa chini kuna sababu kwa nini watu wakilewa kupitiliza hawawezi kusema uongo / kudanganya.


1. Kulegea kwa Udhibiti wa Akili (Inhibition Loss) – Pombe hupunguza uwezo wa ubongo wa kujidhibiti, hivyo mtu anaweza kusema mambo ambayo kawaida angeyaficha au kuyachuja.


2. Kuongezeka kwa Uwazi (Honest Drunk Effect) – Watu wakilewa mara nyingi huwa na ujasiri wa kusema hisia zao za kweli kwa sababu hawahisi aibu au hofu ya matokeo.


3. Kupungua kwa Uwezo wa Kufikiria kwa Undani – Kudanganya kunahitaji mtu afikirie, apange, na ajikinge ili uongo wake usijulikane. Pombe hupunguza uwezo wa mtu wa kupanga, hivyo kufanya iwe vigumu kudanganya kwa mafanikio.


4. Mabadiliko ya Hisia na Maadili – Pombe inaweza kuathiri maadili ya mtu kwa muda mfupi, na kuwafanya wasiwe na msukumo wa kuficha ukweli.
Mkuu hiyo ni akili bandia ila akili ya kawaida ni kwamba wanywa pombe ni watakatifu walio salia duniani achana na walevi waliokosa akili.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Haukupaswa kuleta hii issue humu. Haya angalia comments za watu ngapi zimekujenga na ngapi zinazidi kubomoa.
Ulitakiwa kuonana na mshauri mwanasaikolojia akusaidie ushauri namna gani ya kupandisha heshima yako iliyoshuka. Hiyo ni profession siyo kila mtu anakushauri. Mimi binafsi nikiamua kuleta kitu humu huwa ninakuwa nimeshafanya tathmini ya wakosoaji na wajengaji. Wengi humu hata uongee kitu chenye uzito kiasi gani bado watakukejeli. Ni hayo tu kwa leo. Ushauri wangu kwanza acha pombe kabisa, aliyesema pombe siyo chai hajakosea. Pili omba msamaha kwa unaoona umewakosea. Kama unaona damage ni kubwa kiasi kwamba haiwezekani kusahaulika bora uombe hata uhamisho uende sehemu nyingine uanze upya
 
Anaogopa macho ya watu, wakati kanisani kwetu kulikuwa na upadrisho mapadri wamelewa na wanabambia nyimbo ya “Mimina ziteremshe tuzipokee bwana” 😹😹

Na kesho wako altareni wanaendesha misa km hakuna kilichotokea..!! 🤣
Halafu ma paaadiri wana katabia kakuchanganya kale ka damu ya yesu na nyagi , wakisha kagida unaona wananuru ya utukufu kabisa.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Vipi umeshaanza kusoma magazeti?
 
Ni vizuri huyu mdau mwenzetu awe anakunywa kwa kiasi/ kipimo na asizidishe kabisa.

Angalizo.
Kuna binadamu wengine wakianza kulewa hawashauriki kabisa wanakuaga Kama vichaa yaani ni noma Kuna huyo brother angu askari yeye atateketeza pesa zoteee alizo nazo kwa kugawa offer za bia,misosi na nauli kwa watu asio wajua alaf kesho asubuh Dr am 4 real PhD nitumie pesa sina kitu kabisa 🧐
Ni kweli kabisa. Ila watu kama nyie mpo kwa ajili ya kusaidia watu kama wao 😜😅
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Wewe kausha atakayekuuliza mwambie sikumbuki, uombe msamaha utaomba wangapi?
Wenzio tushawazaba makofi hadi polisi tukalala rumande ungesemaje?
Mwingine mpaka anatongoza mamamkwe akifikiria ni baamedi asemeje.
Sisi walevi hatukuungi mkono kwa hili.
 
Back
Top Bottom