Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Mbinu ya kijeshi, ukinywa pombe usipokee simu wala kuchati, wala kumpa mtu ahadi yeyote, mfano mchango wa kitu fulani, kuna jamaa angu alilewa akaahidi mchango wa laki 5 kwenye harusi ya mtu kisha hata laki akashindwa kutoa kutokana na alitumia pombe kuahidi. Pombe POMBE Pombe nitamu sana, mkuu karibu ka heineken uzimue, ninakunywa ka heinekeni cha baridiiiii. ONDOA MAWAZO KULEWA NA KUROPOKA NI UJI NA MGONJWA. TENA MLEVI AKIKWAMBIA KITU UJUE NI KWELI.
Mlevi akikwambia kitu ni kweli!Jamaa Yako aliahidi laki5,mbona hakutoa?
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Mkuu hata usijali. Sisi huwa tunaita ajali kazini. Take it easy. Usiombe yeyote msamaha. We rudi kazini endelea kuchapa kazi.

Wote wanajua si tabia yako ni pombe ilikuzidia so tembea na huo mstari. Na weka na utani kabsa.

Usiishi kwa kujuta. Kawaida sana.

Kwanza hiyo heshma walikuja kukuambia wanayo mpaka sasa hv useme imevunjika?
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Hilo mbona sio tatizo, piga kazi jifanye haukumbuki kituo na usipende kuongelea tena hiyo inshu hata humu JF, kifupi mtu akikuliza kuhusu inshu hiyo jibu kijasili sikumbuki kisha badilisha story, siku 7 tu watu washasahau.
 
Kwakuwa unataka kurudisha heshima,basi fanya yafuatayo.
.nunua gari Jeep compass,hili gari ni bei ndogo tu ila itakuwa ya pekee. Kila ukipita watakuangalia watesema ni ya yule jamaa aliye lewa sana.hata wale ulo watongoza watatamani ulewe tena ili uwatongoze.

.Kazini wasalimie sana watu…ila muda
wote nuna sana huku ukiwa na roho nzuri.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Wa Italia Wana msemo wao mmoja ""IN WINE ,THERE IS TRUTH.""
""IN WINE THERE IS WISDOM""for years ma spy wamekua wakitumia pombe ili kupata ukweli..Mara nyingi mtu akilewa lazima aseme yaliyo jificha moyoni.

Binafsi Mimi huwa nikipataga changamoto/ MAGUMU huwa najiambia hili nalo litapita ni Jambo la muda yatapita be strong Kuna walio lewa na yakawakuta makubwa zaidi yako..

Be a man..Tena be a real man acha kubakia kwenye hiyo page fanya ku skip focas na kazi zako engine yaachie muda maana muda ni BEST TEACHER

NB.
POMBE, BANGI,VILEVI VYOTE KWA UJUMLA WAKE HAVIJAWAI KUA VIBAYA AU MBAYA TATIZO NI MTU MWENYE HUWEZI KUSHINDANA NA POMBE MZEE...WEWE ENDELEA KUNYWA KWA KIASI/ JUA LIMIT YAKO ISHI HUMO..KUNYWA FOR RECREATION PURPOSES TENA JION BAADA YA KAZI

aisome min -me
 
Hilo mbona sio tatizo, piga kazi jifanye haukumbuki kituo na usipende kuongelea tena hiyo inshu hata humu JF, kifupi mtu akikuliza kuhusu inshu hiyo jibu kijasili sikumbuki kisha badilisha story, siku 7 tu watu washasahau.
Unataka kunikumbusha story ya mbuni kuficha uso/ sura kwenye kichaka alafu mwili wote uwe Nje.

True..jamaa awe na confidence hata hao KAZINI wata sahau pia inaonyesha jamaa ni underground kwenye tasnia ya ulabu..

Awe anakunywa kwa kiasi CHUPA mbili na asizid tatu.
 
Wa Italia Wana msemo wao mmoja ""IN WINE ,THERE IS TRUTH.""
""IN WINE THERE IS WISDOM""for years ma spy wamekua wakitumia pombe ili kupata ukweli..Mara nyingi mtu akilewa lazima aseme yaliyo jificha moyoni.

Binafsi Mimi huwa nikipataga changamoto/ MAGUMU huwa najiambia hili nalo litapita ni Jambo la muda yatapita be strong Kuna walio lewa na yakawakuta makubwa zaidi yako..

Be a man..Tena be a real man acha kubakia kwenye hiyo page fanya ku skip focas na kazi zako engine yaachie muda maana muda ni BEST TEACHER

NB.
POMBE, BANGI,VILEVI VYOTE KWA UJUMLA WAKE HAVIJAWAI KUA VIBAYA AU MBAYA TATIZO NI MTU MWENYE HUWEZI KUSHINDANA NA POMBE MZEE...WEWE ENDELEA KUNYWA KWA KIASI/ JUA LIMIT YAKO ISHI HUMO..KUNYWA FOR RECREATION PURPOSES TENA JION BAADA YA KAZI

aisome min -me
Kaka nimeisoma kwa ufasaha kabisa , pombe ni ya wafalme na wakuu , tatizo la siku hizi kila mtu anatumia tu, na isitoshe inasemekana tatizo la afya ya akili ni kubwa , halafu uchanganye na pombe tena , just imagine 🤔
 
Mkuu hata usijali. Sisi huwa tunaita ajali kazini. Take it easy. Usiombe yeyote msamaha. We rudi kazini endelea kuchapa kazi.

Wote wanajua si tabia yako ni pombe ilikuzidia so tembea na huo mstari. Na weka na utani kabsa.

Usiishi kwa kujuta. Kawaida sana.

Kwanza hiyo heshma walikuja kukuambia wanayo mpaka sasa hv useme imevunjika?
Aisee umenitia nguvu
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Pombe zimesaidia watu wajue tabia zako halisi, ni ulikuwa unazificha tu. Iliwahi kusemwa in "wine, there is truth".
 
Back
Top Bottom