min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Maminja hatuendi piga pombe leo?Kidogo sana 😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maminja hatuendi piga pombe leo?Kidogo sana 😜
Ni vizuri huyu mdau mwenzetu awe anakunywa kwa kiasi/ kipimo na asizidishe kabisa.Yes! Na ninapenda sana hasa siku za mwisho wa wiki
Ahsante kaka kwa ushauri mzuriWa Italia Wana msemo wao mmoja ""IN WINE ,THERE IS TRUTH.""
""IN WINE THERE IS WISDOM""for years ma spy wamekua wakitumia pombe ili kupata ukweli..Mara nyingi mtu akilewa lazima aseme yaliyo jificha moyoni.
Binafsi Mimi huwa nikipataga changamoto/ MAGUMU huwa najiambia hili nalo litapita ni Jambo la muda yatapita be strong Kuna walio lewa na yakawakuta makubwa zaidi yako..
Be a man..Tena be a real man acha kubakia kwenye hiyo page fanya ku skip focas na kazi zako engine yaachie muda maana muda ni BEST TEACHER
NB.
POMBE, BANGI,VILEVI VYOTE KWA UJUMLA WAKE HAVIJAWAI KUA VIBAYA AU MBAYA TATIZO NI MTU MWENYE HUWEZI KUSHINDANA NA POMBE MZEE...WEWE ENDELEA KUNYWA KWA KIASI/ JUA LIMIT YAKO ISHI HUMO..KUNYWA FOR RECREATION PURPOSES TENA JION BAADA YA KAZI
aisome min -me
Asante kushukuru.Ahsante kaka kwa ushauri mzuri
Mkuu time heals. Baada ya muda yatapita na zitabaki story tu.Aisee umenitia nguvu
Kwa hiyo bro ushauri wetu kumbe sio mzuri , kama unaweza kung'amua ushauri mzuri na mbaya kumbe majibu tayari ulikuwa nayo?Ahsante kaka kwa ushauri mzuri
Ndivyo pombe ilivyo haina vinyogo na huwa ina tabia ya kusamehe na kuwakarimu wengine .Baada ya wiki mbili au moja utakuwa umesahau na utaonja tena gambe
Una akili mingi mkuu ,ila kama ofisi yake wapo walokole wa kijinga kazi anayoAcha kujistress mkuu. Harakati za pombe zinajulikana. Apo kwa sisi wenye D mbili tutaisingizia pombe japo n upmbv wako
Ni kweli mkuu, kunywa sio dhambi ni kwa ma champion na washindi wa vita..Kaka nimeisoma kwa ufasaha kabisa , pombe ni ya wafalme na wakuu , tatizo la siku hizi kila mtu anatumia tu, na isitoshe inasemekana tatizo la afya ya akili ni kubwa , halafu uchanganye na pombe tena , just imagine 🤔
Af ukute kamropokea church girl huyu jamaaUna akili mingi mkuu ,ila kama ofisi yake wapo walokole wa kijinga kazi anayo
mm nilishawah kufanya kituko cha mwisho kabisa, yaani nilisema sitaigusa tena maana nilitia aibu ya mwaka, ila baada ya siku tano nimo tena, kwa umakini zaidNdivyo pombe ilivyo haina vinyogo na huwa ina tabia ya kusamehe na kuwakarimu wengine .
Una akili mingi sana tatizo mwamba anaona walokole ndio wana ushauri wa maana eti🤔Waite halafu kunywa tena na wazingue tena, baada ya hapo watachukulia kawaida..!!
Sio kila moto unazimwa kwa maji, sometimes moto unazimwa kwa moto..!!
Walokole mamboleo wapo Mbona mzee wa upako alikua ANAPIGA BAPA Then anaenda madhabauni ku preach na anafundisha vyemaa ☺️😊Una akili mingi mkuu ,ila kama ofisi yake wapo walokole wa kijinga kazi anayo