Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Nitaifichaje hii aibu ili niweze kurudisha heshima yangu

Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Acha pombe okoka, hama mtaa
 
Beba makosa yako with your head held high.

Andika email kwa staff woote waombe msamaha, waambie hukudhamiria na umejifunza kutokana na yaliyotokea pia utachukua hatua stahiki kuhakikisha yaliyotokea hayatajirudia

Then sobber it, usiongelee Hilo Jambo tena. Hata MTU akikuuliza unamshangaa

In a week litaisha

Ukijifucha utakuwa laughing stock, yaani watu woote wanakucheka wewe. Ila ukiliendea front watu ndo wataona aibu kukusema.

All the best
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Vipi wale uliowatongoza, kuna yeyote kakukubalia? Huo ndo uanaume sasa siyo unakufa na tai shingoni. Siku moja moja unalewa unamwaga sera, udomo zege nao siyo poa.
 
Huyo ndio wewe halisi sasa hyo heshima unayosema ulikuwa nayo ilikuwa ya kuigiza hapo sasa ni ubaya ubwela endelea kupiga vyombo maji yakimwagika hayazoleki
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI
Ulichokifanya ndiyo tabia yako halisi ila huwaunajitahidi kuificha tu. Pombe inatabia ya kusema ukweli daima. Chombilecho Warumi kwenye mvinyo ndiyo kwenye ukweli.
 
Habari zenu ndugu zangu ,

Mimi ni mtumishi idara Fulani sasa juzi tulikuwa na hafla fulani au tuseme ni ziara fulani nje ya mkoa sasa ikapelekea kunywa pombe kupitiliza na kuanza kuropoka yaani kila mfanyakazi mwenzangu alijua kwamba nimelewa na wengine kuwaweka wazi kuwa nawapenda sasa hii kwangu ilishangaza mno watu kiasi kwamba kuanza kunishangaa mno.

Mimi sio mnywaji wa pombe kabisa ila nilikuwa kama kichaa baada ya kulewa kupitiliza hivyo imekuwa aibu na fedheha kiasi kwamba mpaka nilipopanga wamejua kuwa nililewa na kuanza a kuongea maneno ya hovyo hivyo ni aibu kweli kweli na pia kabisa naona heshima yangu imeshuka mno

Nifanyaje ndugu zangu niweze kuirejesha heshima niliyokuwa nayo kazini, kwenye jamii na hata kwa wale niliowakosea japo sio wote wamenambia kuwa niliwakosea najua kuna ambao niliwakosea lakni hawawezi kusema

Hapa nina mawazo mno yani najiona mkosaji kuliko wakosaji wengine mana sijawahi kulewa na kudhalilika kiasi kile

HAPA NIMEANDIKA NIKIWA NA MAWAZO MENGI MNO KICHWANI YANI KILA NINAYE MUONA NAHISI ANANIZUNGUMZIA MIMI HASA KWA HESHIMA NILIYOKUWA NAYO

NISAIDIENI MAWAZO YANANITESA
#NIMEAPA POMBE SITOGUSA MPAKA NAINGIA KABURINI

Hakuna mtu atayekuhukumu kwa matendo wakati hauna akili, labda mama umepiga mtu, piga kimya, maisha yaendelee, kwani si ulifanya wakati hauna akili? Kwa nini inakutesa wakati una akili? Ila ukijua wewe ni kichwa cha pansies, pombe za nini?
 
Hakuna mtu atayekuhukumu kwa matendo wakati hauna akili, labda mama umepiga mtu, piga kimya, maisha yaendelee, kwani si ulifanya wakati hauna akili? Kwa nini inakutesa wakati una akili? Ila ukijua wewe ni kichwa cha pansies, pombe za nini?
Ahsante brother
 
Pombe husema ukweli sikuzote
Minyege imemponza Mkurugenzi wa GPSA sasa kibarua kimeota nyasi kisa kuna kimalaya kilikua kinainyonya akanogewa mpaka akasahau kazi Ngoooswe
 
Huyo ndio wewe halisi sasa hyo heshima unayosema ulikuwa nayo ilikuwa ya kuigiza hapo sasa ni ubaya ubwela endelea kupiga vyombo maji yakimwagika hayazoleki
Hapana nina heshima mno ndugu yangu kiasi kwamba naona kama ni shetani tu ikumbukw sijawahi kunywa kabisa
 
Relax mkuu.
Kawaida sana hizo kwa watu wa pombe.....punguza kujilaumu na kujihukumu kwa vitu vidogo kama hivi.
Apitie hapa ataelewa...nna jamaa qngu yey alilewa hadi akavua nguo...ila next day kazi kama kawa....nlishangaa sana ule ujasiri...yaan rungu nje nje jamii mzimq inamtazama ila hakuhofia chochote
 
Nadhani kilichowashangaza watu siyo yale maneno au vituko ulivyofanya bali hawakujua kama wewe unakunywa pombe ndicho kilichowashangaza.
Dawa ni kuendelea kunywa ijulikane moja.
Vinginevyo omba uhamisho!
 
Apitie hapa ataelewa...nna jamaa qngu yey alilewa hadi akavua nguo...ila next day kazi kama kawa....nlishangaa sana ule ujasiri...yaan rungu nje nje jamii mzimq inamtazama ila hakuhofia chochote
Ahahaaa
 
Back
Top Bottom