FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Nitumie rangi gani nje kupaka ukuta ikiwa nimepaua kwa bati la kijani. Naona bati liko selective sana ku match na rangi ili nipate nyumba inayovutia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuwa na ditch nyingi....(contemporary roofing), au hiden roof kuna Aina mbili ya zege au ya bati. Ile ya zege haina shida kwasababu ukitumia recommended ratio M20 na ukingo wa 15-20mm nakuweka scheme za kupitisha maji na pipe zikakaa vizur au ukioona ngumu pia ongeza na tiles tatizo limeisha, kwenye PAA sasa imekuwa changamoto au zimekuwepo cases nyingi za kuvuja na ukwel kwamba tatizo liko kwenye SLOPE ( 30°) au arctan RISE/Run kuwa hamna au halipo. Cha kufanya :Mkuu ni namna gani ya kudhibiti paa la mficho ie hiden roof lisivuje au maji yasishuke na kuta
Kwenye PHYSICS ya RANGI itategemea colour blind level ya mteja, (mapenz yake) Ila ktk matching naweza kuwa siko sahii kabisa ila kumbuka kuna RANGI ya kijani pia kama unataka chemistry nzur japo nikiangalia hizo (RANGI za wasanii hizo na njano), Ila unaweza kwenda kwa wazalisha RANGI wakakutengeneza unayotaka (CUSTOMIZED PAINT) . japo kwa TZ broken white ya KIBOKO inaonyesha kumatch na MAPAA mengi.Nitumie rangi gani nje kupaka ukuta ikiwa nimepaua kwa bati la kijani. Naona bati liko selective sana ku match na rangi ili nipate nyumba inayovutia?
Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu
Structure, design and building economic.
Ingawa hili linaitaji "kuona site nature", pia naitaji kujua hayo maji ya mvua yanatokana na Paa kukusanya maji pamoja na mvua yenyewe (kama ndio), je pia kuna slope/mtelemko au nikulazimisha Chanel?. Hapa zingatia hivi:Kuna nafasi ndogo ya kujenga ukuta, lakini pia umahitaji mtaro kupitisha maji ya mvua hadi kwenye mitaro ya jiji? Ukuta wa aina gani utafaa hapa?
conductor latika ujenzi nyumba ya kuishi ghorofa moja nimeona kuna mafundi wanamwaga jamvi, wengine hawamwagi jamvi kitaalam hii imekaaji?Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu
Structure, design and building economic.
Ahsant kwa ushaurlabda km upo Ktk Majiji ama Miji mikubwa, lkn ktk Halmashauri zetu hz, kila kata inakuwa na Mtu wa Idara ya Ujenzi wa Halmashauri husika... huyu ndo "SNITCH" wa yale Maandishi "BOMOA" ... "SIMAMISHA UJENZI" ... mtafute huyu Bwana mapema kisha MALIZANA NAE... Anza ujenzi wako, hutaona Mtu wa Halmashauri wala Idara ya Ujenzi
Sishauri Sana, Kwan hazitofautiana Sana na ORDINARY CEMENT..kwa uwezo wa kustahilimili kuvuja, Ila ipo special cement au tafuta grouting type ingine ziko kwenye madukaJe, white cement inaweza tumika Kama water proofing kwenye uezekaji(contemporary roofing)?
1.nyumba inajengwa kwa hatua,hivyo hatua ya jamvi mwaga jamvi, nenda hatua ya pili...Ila kwenye gorofa kuna njia mbili za kujenga, unaweza kuanza na frame(only column)au ukajenga kwa whole structure.conductor latika ujenzi nyumba ya kuishi ghorofa moja nimeona kuna mafundi wanamwaga jamvi, wengine hawamwagi jamvi kitaalam hii imekaaji?
Vilevile kwenye nguzo za jengo hilohilo la ghorofa moja kwenye nguzo huweka nondo 4 za 16mm. Na wengine huweka 6 za mm 12 kitaalam hii imekaaje pia?
Kwa TZ, kibari cha ujenz kinatolewa na ALMASHAURI huska, kwenye IDARA ya ujenz, KAZI kubwa ya IDARA ya ujenzi inayokuwa na watu 2 muhimu ni msanifu majengo (architecture) na mhandisi majengo (structure engineer). cha Kwanza wataomba uonyeshe yafuatayo:
1. Hati ya kiwanja /mmiliki
2. Mchoro wa jengo(structural design)
3.Usanifu wa jengo(architectural design)
Na michoro hiyo lazma iwe na mhuri wa aliyepitisha ubora,
Baada ya hapo watapanga kuja kutembelea eneo na QS wao au afisa mipango miji
badae utapata kibari cha sasa unaweza kujenga na watakwambia ulipie gharama za kibar cha ujenz, nadhan huwa unalipa kwa eneo linalokwenda kusimama jengo (, Square metre).BAADA YA HAPO UNAWEZA KUTAFUTA MTAALUM WAKO NA UWEKE KIBAO CHA KUONYESHA KUNA UJENZI.
Na itakulazimu sasa kwasababu ni orofa kibao kinachoo yesha :
1. Aina ya jengo
2.Mteja
3.mkandrasi wa jengo
4.mkandras wa umeme
5.mkandras wa mifumo mingine kama ipo .
Kazi kwako...
Nashukuru kwa USHAURI, kiswahili kigumu, ninayo andika we umeyasoma kwa Kiswahili ulipokuja kugundua nina kitu?. Be more positive acha tabia za ualimu..Anza uzi wako tutajifunza pia boss1. Msanifu majengo anaitwa "architect" na sio "architecture".
2. Una kitu lakini uandishi wako sio mzuri. Andika kama mtaalamu na sio kama unachat na mtu facebook/whatsapp.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
A.Mara nyingi fungus husababishwa na vitu Zaid ya KIMOJA, ikiwa pamoja na asili ya ardh (kama maji yanatuama eneo hilo kwa masika tofauti, au ubora wa material unayotumia cement (manufacturing date and quality, au mchanga unaiotumia (kama sio river sand), unachumvi chunvi , au Uhahi wa tofari kufika mwisho na endapo hutafanya plastering kubufasaha.Mkuu ili kuepuka kuta kupata fungus ni kipi cha kuzingatia wakati wakuanza ujenzi...!?
Na kipi hupelekea kuta za block kupata crack wakati mwingine hata jengo halijaisha...!?.
Mkuu mimi Napenda nyumba yangu niezeke bati za vigae,lkn jamaa zangu wananishauri kuwa nisizitumie hizo Kwasababu eti ni rahisi kuvuja.Vipi kuna Ukweli hapo?.Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu
Structure, design and building economic.
Inawezekana Hamna shida.. fundi wako Aache matoleo.Asante, mfano ninaplan ya kujenga nyumba ya vyumba vinne vya kulala ila sina huo uwezo kwa sasa, sasa nataka kujenga vyumba viwili vya kulala, jiko na toilet, je itawezekana hapo baadae kuunganisha vyumba vingine katika nyumba ya kwanza? ubora wake utakuwaje?