Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

View attachment 2913082
Mkuu nilichomaanisha ni kuwepa msingi hapo chini badala ya hivyo ilivyo. Lengo ni kupunguza ghafama za slab ya kubeba rooma. Naona maoni yako. Asante
(60% sijaelewa SWALI lako vizur mteja wangu), ila kama unataka kujua hapo chini kama unawez kuzalisha chumba kingine bila kuseti upya msingi wenye ubora kama hiyo nyumba iliyo, Mimi nitakwambia ndivyo inawezekana, hiyo NGUZO moja na hizo kuta zinatosha kabisa kutozalisha NGUZO ingine, Ila kwenye jamvi pale ambapo sio compacted/kuna majani ndo nitadeal nako( by using hard core), alafu nitazalisha kuta mpya zinaitwa "non bearing wall" na kama nitataka kupanua zaidi ya kuta zilizopo (i.e.cantilever) isisizid 60cm.. ( only if my answer is relevant to your question pls). Notafurahi kama utanifafanulia zaid SWALI lako ili nijibu kitaalamu zaidi.
 

Attachments

  • image_aa32eb9e-33ee-4e44-ab01-4725dbe02a1e20230609_214008.jpg
    image_aa32eb9e-33ee-4e44-ab01-4725dbe02a1e20230609_214008.jpg
    87.9 KB · Views: 20
  • image_ecbe2f88-3ba2-48cd-96d8-6a83da6d043c20230719_214751.jpg
    image_ecbe2f88-3ba2-48cd-96d8-6a83da6d043c20230719_214751.jpg
    85.9 KB · Views: 17
Boss naomba kuuliza ,kwenye skimming ni materials ya kampuni Gani mazuri Kati ya hizi kampuni mbili yaan magic builders wenye white skim na Jk?
 
,alwindow,gypsum boards,tiles, skimming ,RANGI Or, Alwindow,Tiles,gypsum boards, skimming na RANGI Or, Gpsum body,AlWindow,Tiles skimming.. .unajua kwanini?. ITATEGEMEA UMAKINI ULIONAO kama tender sio yako peke yako na fundi ataeshim KAZI ya mwenzie . Hapo risk kubwa ni tiles na skimming
skimming ni nini ..its difference with plastering
 
Mr Conductor, nisaidie, nategemea kupiga mbao ili niweze kuweka gypsum. spacing ya mbao za kupiga gypsum inakuwa na dimensions zipi?
 
Mr Conductor, nisaidie, nategemea kupiga mbao ili niweze kuweka gypsum. spacing ya mbao za kupiga gypsum inakuwa na dimensions zipi?
30x30 centimetres NI Bora zaidi.
 
Mr. Conductor.
Ukiamua kutumia mawe kujenga msingi, bado kuna umuhimu wa kuwa na footing ya zege ( concrete) pia?
 
IMG-20240620-WA0007~3.jpg

conductor mfano slab kama hiyo, kitaalamu inatakiwa kuwa na columns ngapi. Dimensions zake say upana 5m na urefu 12m. Inabeba two rooms na lobby. Columns ziwe na steel bars za size gani na ngapi?
 
View attachment 3188816
conductor mfano slab kama hiyo, kitaalamu inatakiwa kuwa na columns ngapi. Dimensions zake say upana 5m na urefu 12m. Inabeba two rooms na lobby. Columns ziwe na steel bars za size gani na ngapi?
Aksante, 230mmx540mm,endapo unatumia span Kati ya nguzo na nguzo 5000mm, namba za nguzo inategemea unakwenda upana gani, angalia hiyo attachment nimeweka, Aina ya steel bar isipungue 12mm, na nguzo moja isipungue nondo 4.
 

Attachments

  • IMG-20240722-WA0005.jpg
    IMG-20240722-WA0005.jpg
    50.8 KB · Views: 9
G+1. Si tatizo kulaza tofali za nch 5,ikiwa pamoja ina surpot ya nguzo?
 
Naweza pata kibali cha ujenzi wakati bado naendelea kushughulikia kubadili hati ya kiwanja?
 
Nipo kwenye hatua ya kuweka aluminium windows,naomba nielekeze kitaalamu ya msingi kuzingatia kabla sijanunua/chagua eg aina nzuri,size na vioo bora kama huwa vinatofautiana.

Shukrani.
 
Hamna faida, hasa hiz nchi za tropical
Nimesikia zina faida hasa nchi za tropics maana zinasaidia kupunguza joto ndani ya vyumba.
Hewa yenye joto upanda juu kuachia hewa baridi kukaa karibu na sakafu. Hivyo paa ndefu uruhusu hewa yenye joto ikae mbali zaidi na watu walikokaa. Of course, bado unahitaji madirisha mapana ya kuingiza hewa na kuruhusu izunguke.

Mimi sio mtaalam ila hiyo ni moja ya faida ya paa ndefu nimesikia.
 
Nimesikia zina faida hasa nchi za tropics maana zinasaidia kupunguza joto ndani ya vyumba.
Hewa yenye joto upanda juu kuachia hewa baridi kukaa karibu na sakafu. Hivyo paa ndefu uruhusu hewa yenye joto ikae mbali zaidi na watu walikokaa. Of course, bado unahitaji madirisha mapana ya kuingiza hewa na kuruhusu izunguke.

Mimi sio mtaalam ila hiyo ni moja ya faida ya paa ndefu nimesikia.
Tropical kuna joto? Theory yako iko sahii sababu za nyumba kuwa juu...Ila Sehem gan sio Sawa....iringa kuna joto?,Kigoma?, morogoro? jangwa la Sahara? .nadhan NI kukariri fashion nakutumia fundi wabovu....hapo formula yakuset paa isingekuwepo...makanisa yanajengwa Kwa mfumo huo kwasababu kunajaa watu...joto linakuwepo jingi... Pia span ya kanisa
 
saizi gani tiles ni nzuri kuweka sebuleni mfano 40x40,50x50,60x60 au 60x120 ambayo ukiweka sebule inaonekana poa kabisa
 
saizi gani tiles ni nzuri kuweka sebuleni mfano 40x40,50x50,60x60 au 60x120 ambayo ukiweka sebule inaonekana poa kabisa
Kwa options zako Tumia, itakayopunguza joints. Nashauri TERAZO NI Bora zaidi ya tiles.
 
Back
Top Bottom