Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

Mkuu mimi Napenda nyumba yangu niezeke bati za vigae,lkn jamaa zangu wananishauri kuwa nisizitumie hizo Kwasababu eti ni rahisi kuvuja.Vipi kuna Ukweli hapo?.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Ukweli 50%, vigae ni Aina ingine ya material roofing, 8naitaji utaalam wake, Ila hata bati kuvunja ni 50% pia. Tatizo kubwa kwenye ujenz ni matajir kukwepa kulipa pesa ya USHAURI au kuwa na mafundi wasio weredi. Wakidhan wanahimili gharama. Ila sio kweli. Uzoefu wangu katika USHAURI WA MAJENGO, mengi ambayo wametumia mafundi wasio na msimamiz weredi,20% wanakuwa wameongeza gharama zaidi.
 
Ukweli 50%, vigae ni Aina ingine ya material roofing, 8naitaji utaalam wake, Ila hata bati kuvunja ni 50% pia. Tatizo kubwa kwenye ujenz ni matajir kukwepa kulipa pesa ya USHAURI au kuwa na mafundi wasio weredi. Wakidhan wanahimili gharama. Ila sio kweli. Uzoefu wangu katika USHAURI WA MAJENGO, mengi ambayo wametumia mafundi wasio na msimamiz weredi,20% wanakuwa wameongeza gharama zaidi.
Asante mkuu

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Sawa asante sana, wewe ni fundi ujenzi? Kama ni ndio upo mkoa gani?
Nitakushauri kwa njia zote isipokuwa physical (video cal, drawings, supervising etc) nikiwa mbali na eneo lako..ukiniitaji nambie uduma gani unaiitaji..Nina wakala kila nchi EAST AFRICA. na Zaid nitumie detail inbox yangu.
 

Attachments

  • image_595a4d28-0430-4f47-a7c8-1dfdedd5b37820231024_161304.jpg
    image_595a4d28-0430-4f47-a7c8-1dfdedd5b37820231024_161304.jpg
    179.8 KB · Views: 22
Ndio ..SWALI NI kujenga nini...la msingi Sana kujenga kwa hatua. Bila pressure, kama kwa mwezi unaweza kupata laki mbili kwa ajiri ya bajet ya kujenga .utafamikisha..
.tafuta ardh
,Weka msingi WA vyumba 2
,Pandisha chumba KIMOJA
,Paua
,Jenga Choo
,Weka maji
Alafu anzia hapo ...Nina njia 12 za kukujengea nyumba Kwa bajet ya chini kabisa .Ila MTU AKIOUONA hiyo nyumba atadhan umetumia milion 50M Kumbe 15M.kutegemea na location.
Mkuu ninaweza kutenga 600000 kwa mshahara wangu, nisaidie stratergy ya kujenga nyumba ya vyumba 3(kimoja master), sitting, kichen, store na public toilet,

NB, kiwanja kipo 30mx30m na mawe ya msingi trip 25 zipo tayari site
 
Mi nataka kupiga lipu ya drewa. Je ni nzuri na bora kuliko lipu ya cement na rangi, au ile wanaita mchele mchele?
 
Mkuu ukuta wa nyumba umeliwa na chumvi, hasa kwa chini mpaka karibia usawa wa dirisha. Nitumie mbinu gani kuondoa tatizo
 
Screenshot_20240211_062522_Gallery.jpg

Mkuu kuna hii kitu mnaita 1.5 storey. Kuna ujinga nimewaza ili kupunguza gharama kulingana na uwezo.
Huo upande uliobeba ghorofa kutoacha space kwa chini, badala yake kuweka kifusi na zege la kawaida ili kukwepa gharama ya slab ya kutosha kubeba upper floor.
Inawezekana hii kitaalamu?
 
Hongera sana mkuu kwa kutoa elimu,binafsi naomba ushauri paa langu limepauka sana hadi linaanza kuota kutu yani hadi nyumba naanza kuichukia bila shaka niliuziwa bati fake lakini haivuji,je njia gani sahihi kurudisha muonekano mzuri tofauti na kupaua tena kwa bati zingine!Asante.
 
Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

Structure, design and building economic.
Nina Vitu vinne vya kufanya kwenye finishing

Kufanya Skimming ndani
Kuweka Tiles
Kuweka Aluminium windows na
Kuweka Gypsum

Kipi kinatakiwa kianze na kipi kiwe cha mwisho
 
Nina Vitu vinne vya kufanya kwenye finishing

Kufanya Skimming ndani
Kuweka Tiles
Kuweka Aluminium windows na
Kuweka Gypsum

Kipi kinatakiwa kianze na kipi kiwe cha mwisho
,alwindow,gypsum boards,tiles, skimming ,RANGI Or, Alwindow,Tiles,gypsum boards, skimming na RANGI Or, Gpsum body,AlWindow,Tiles skimming.. .unajua kwanini?. ITATEGEMEA UMAKINI ULIONAO kama tender sio yako peke yako na fundi ataeshim KAZI ya mwenzie . Hapo risk kubwa ni tiles na skimming
 
Mkuu ninaweza kutenga 600000 kwa mshahara wangu, nisaidie stratergy ya kujenga nyumba ya vyumba 3(kimoja master), sitting, kichen, store na public toilet,

NB, kiwanja kipo 30mx30m na mawe ya msingi trip 25 zipo tayari site
conductor nisaidie hapa
 
Anza na mchanga, 12cm (cubic metres), kama LAKI nne hivi..Baki na LAKI 2, nunua nondo 12mm kama kumi hivi. (Phase 1), badae tenga tena 600000, nunua tena nondo kumi hivi ,utabaki na LAKI nne, nunua tofar za nchi Tisa (230mm) kwa ajiri ya msingi HAKIKISHA unakuwa na tofari 250 Kwanza, alafu next nunua kokoto za LAKI sita...ndani ya miez sita utakuwa na stoko yakutosha, baada ya hapo tafuta mtaalau akudeginie mchoro mzur Sana...full..pambana nae Kwa bei...asizid 1M. kukupa full design ..hatua hizi ndani ya mwaka utakuwa uko hatua kubwa Sana...na hakikisha unavuta maji ya kusima ili kujihami...
 

Attachments

  • image_2c413c2e-9758-4ca7-9cc1-4efe452ae40b20230528_104904.jpg
    image_2c413c2e-9758-4ca7-9cc1-4efe452ae40b20230528_104904.jpg
    37.8 KB · Views: 26
  • image_9caeacc1-c9bb-4fc7-b1a3-636afdbc5e9920230528_104943.jpg
    image_9caeacc1-c9bb-4fc7-b1a3-636afdbc5e9920230528_104943.jpg
    40.7 KB · Views: 26
  • image_9bc3715c-7e6f-4e7e-8532-ce340bfb411620230528_104912.jpg
    image_9bc3715c-7e6f-4e7e-8532-ce340bfb411620230528_104912.jpg
    38.5 KB · Views: 28
  • image_18d6334f-ef4c-41ac-89f3-c5687330a07e20230528_104859.jpg
    image_18d6334f-ef4c-41ac-89f3-c5687330a07e20230528_104859.jpg
    40.7 KB · Views: 30
View attachment 2900310
Mkuu kuna hii kitu mnaita 1.5 storey. Kuna ujinga nimewaza ili kupunguza gharama kulingana na uwezo.
Huo upande uliobeba ghorofa kutoacha space kwa chini, badala yake kuweka kifusi na zege la kawaida ili kukwepa gharama ya slab ya kutosha kubeba upper floor.
Inawezekana hii kitaalamu?
conductor huyu hujamjibu@OKWI BOBAN SUNZU
 
conductor huyu hujamjibu@OKWI BOBAN SUNZU
Katika design concept inawezekana, na lengo kubwa la 1.5 storey NI kupunguza material cost, sasa Naona unataka kupunguza zaidi bajet yake.."Bungalow homes are almost always 1.5 stories tall (meaning they have a single room on the upper floor or small attic). They are made to accommodate a single family and tend to be laid out very practically, maximizing interior space with shelves set into walls"
Principle ya msingi kwenye kujenga NI je KUNA RISKI kiasi gani na unajua jinsi yakuikabiri?. Napenda kumsikiliza mteja na kutembelea miguu yake, na njia nzuri yakukataa kilicho RISK NI kumjibu " ngoja nipate mawazo zaidi kwa experts". Ila Anza na" possible theory "
 
Katika design concept inawezekana, na lengo kubwa la 1.5 storey NI kupunguza material cost, sasa Naona unataka kupunguza zaidi bajet yake.."Bungalow homes are almost always 1.5 stories tall (meaning they have a single room on the upper floor or small attic). They are made to accommodate a single family and tend to be laid out very practically, maximizing interior space with shelves set into walls"
Principle ya msingi kwenye kujenga NI je KUNA RISKI kiasi gani na unajua jinsi yakuikabiri?. Napenda kumsikiliza mteja na kutembelea miguu yake, na njia nzuri yakukataa kilicho RISK NI kumjibu " ngoja nipate mawazo zaidi kwa experts". Ila Anza na" possible theory "
Ahsante sana
 
Kwa Nyumba ya contemporary ili isiwe na joto natakiwa kujenga tofali ngapi (kozi ngapi) toka kwenye msingi mpaka kwenye Lenta(bim)?
Standard ya urefu wa nyumba ni Kati ya 2.9-3.2m... , suala la joto na barid kwa nyumba urefu sio kipengere Tu cha kuangalia, kuna na eneo lilipo, je IRINGA ukitaka nyumba iwe na joto utashusha urefu?. Na kinachopunguza joto la nyumba ni Kuwa na open space za kutosha, kupanda miti pembeni, kuwa na vent nk... Vinavyosababisha joto kuwa mbali na sebule na vyumba vya kulala, kama jiko, na Sehem zinazoitaji umeme muda mwingi.. contemporary has nothing about hot n cold...it's just finishing methodology only. Other principle stand constantly.
 

Attachments

  • FB_IMG_1707894796560.jpg
    FB_IMG_1707894796560.jpg
    62.7 KB · Views: 26
Habari mkuu
Baada ya msingi wa mawe wa nyumba kubwa, fundi amesema tuweke wire mesh je zina msaada au lazima iwe nondo? Ardhi ni yenye asili ya udongo wa mfinyanzi.
 
Ulijinasibisha utajibu swali lolote mbona mengine unapita wima
Rejea post #54
 

Tipper moja fuso, linajaa ndoo ngap ndoo ngap za mchanga? Kuna jamaa wananikusanyia najua ikiwa mfumo wa tipper ndo nitajua hesabu zangu zitaenda sawa​

 
Back
Top Bottom