Mwanamke niUnataka kusemaje!
Kurupuka ndio mdudu gan?Mi nasema kitu kinachovutia kutazama wa unasema vitu visivyoonekana. Umekurupuka.
Hii comment ungeisindikiza na picha hata kama sio yako ungekua umeitendea haki [emoji91]Hakuna zaidi ya sisi Wanawake ..Huyo ndio MWENYEZI MUNGU M’bora wa Uumbaji
[emoji23][emoji23] toka apaAnduje wako huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha zako bwana sii ana hela bwana
Huyo ni mimi nawaletea picha😂
Hii kitu ukipata na pepsi baridi unasahau shida kwa muda