Nitajie kitu kimoja Mungu aliumba/ aliweka hapa duniani kinavutia kutazama zaidi ya Mwili wa mwanamke

Nitajie kitu kimoja Mungu aliumba/ aliweka hapa duniani kinavutia kutazama zaidi ya Mwili wa mwanamke

Uwa nasema, kama kunapahala Mungu alituliza akili katika uumbaji, basi ni wakati anamuumba mwanamke. Mwili wa mwanamke aisee uliumbwa vizuri, unavutia kutazama.

Kama unahisi kunakitu Mungu aliumba kinavutia kutazama zaidi ya mwili wa mwanamke, twambie ni kipi.

View attachment 2571342
 

Attachments

  • FB_IMG_1679989934650.jpg
    FB_IMG_1679989934650.jpg
    118.3 KB · Views: 3
Uwa nasema, kama kunapahala Mungu alituliza akili katika uumbaji, basi ni wakati anamuumba mwanamke. Mwili wa mwanamke aisee uliumbwa vizuri, unavutia kutazama.

Kama unahisi kunakitu Mungu aliumba kinavutia kutazama zaidi ya mwili wa mwanamke, twambie ni kipi.

View attachment 2571342
Umewahi kukabwa na kiu kikali halafu ukaona glass ya maji baridi yanayotoa umande umande?
 
Uwa nasema, kama kunapahala Mungu alituliza akili katika uumbaji, basi ni wakati anamuumba mwanamke. Mwili wa mwanamke aisee uliumbwa vizuri, unavutia kutazama.

Kama unahisi kunakitu Mungu aliumba kinavutia kutazama zaidi ya mwili wa mwanamke, twambie ni kipi.

View attachment 2571342
Hii ni kwa alie kwenye stage ya balehe
 
Vijana mnachekesha! Pesa na mwanamke utachagua nini?
Pengine hujaelewa hoja. Hapa tunazungumzia alichoumba Mungu, kinachovutia kutazama.

Kwanza Mungu hajaumba pesa. Pesa ni man made. Pili, katika kujibu swali lako, tunahonga pesa kupata mwanamke.
 
You can't fight against nature hivyo ndivyo ilivyo na ndio maana tunazaliana ingekuwa si hivyo inaawezekana idadi ya watu ingekuwa ndogo na kungekuwa na ukatili dhidi ya mwanamke lakini badala mwanaume hata awe katili au jambazi namna gani bado kwenye mapaja ya mwanamke hana ujanja anatulizwa na kutulizika halafu observation hii sio tu kwa binadamu ila hata viumbe vingine wapo so weak kwa female
 
Sio kimoja tu me nna vitatu,
1. Rainfall
2. Waves
3. Momma's beautiful face (my kryptonite)
 
Back
Top Bottom