Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Duh ngachoka kabisaa[emoji24]
 
ME
30/01 Jina K.

KE
17/03 Jina A.

Hasa upande wa fedha na ndoa.
 
Msaada kidogo

ni kwann yanapotokea magomvi hasa ninamkosea mimi mkewang huw nakutan na badluck , Niliwah pat ajar tukiw kwenye ugomv kuibiw pkpk, juz nimebamiz gar nyuma ?
Inategemea na daraja alilonalo mkeo kiroho ama pia inategemea na imani yako ilivyo kwake

Rakims
 
True aisee ila mm sio mchepukaji km yy
Kila mwanadamu ni mwenye kuijua nafsi yake na mwenye kujijua zaidi this is public network naheshimu kinga yako ya kujilinda na heshima yako lakini ukweli utabaki kuwa ukweli mkuu.
 
Me: 7/5 - H
Ke: 31/3- A
Wawili nyingi ni watu ambao hamuendani hata kwa fikra tu kwa maana utawala wa Punda ukiisha ndio unaingia utawala wa Ng'ombe.

Kwanza kabisa wewe sio mtu wa kukurupuka na mshapu kama ilivyo kwa yeye,

Lakini wote wawili mnaonekana kuwa wenye hisia sawa katika kufanya mapenzi.

Yeye ni mwenye mihemko na wewe ni mwenye hisia, nyote wawili ni wenye kufurahia wakati jambo linaendelea.

Tabia yako ya kumtawala mwenza wako moja kwa moja itamfungua kukasirika kwake kwa maana hawa Punda asili yao ni kama ushanga wa dukani ukiugusa tu. Hivyo mtajikuta ni wenye makelele kwenye masuala ya pesa kwa maana wewe una asili ya kuwa na ulinzi wa pesa kitu ambacho yeye kitamuonyesha kuwa una asili ya ubahiri hali ya kuwa yeye ni mwenye ubadhilifu na matumizi ya moto kwenye pesa akipata pesa inayayuka kama moto, na jinsi anavyofanya maamuzi basi moja kwa moja utakuta kwako ni kero.

Ambaye wewe sio mwenye kupenda mambo ya haraka na mabadiriko ya haraka. Mahusiano yenu ya kuvutia mwanzo lakini baadae hugeuka kuwa ndoa Ngumu sana.

kuna siku mtu atakuja kupiga mtu na hadithi itaishia hapo.

Rakims
 
ME:27.12 E
KE: 26.12 J

Hapo mkuu vp...
Asili yako ni watu wenye kukubali watu kama wao, hivyo kwa nyie wawili mnaendana sawa nyota kitu kinachopelekea kuwa ni watu wenye kutokukoseana heshima na kuwakilishana,

Nyote wawili ni wenye tahadhari, wenye kujiheshimu na wenye kufanya kazi kwa bidii na kupenda kutunza akiba. Lakini hata wenye nyota sare mara nyingine wanaweza kuwa na changamoto.

Nyie ni wenye kuendana kingono ama tendo la ndoa inategemea na state ya mahusiano, Lakini katika masuala mengine kila mmoja ni mwenye kusababisha mwenzie kuwa na huzuni na mwenye kukata tamaa,

Kati yenu hakuna anaeweza kumpumzisha mwenzie hata kupumzisha tu nywele yake ukimaliza hili linakuja hili,

Mkiwa ni wa kuhusiana tu yaani mahusiano ya kawaida tu kama mtu na hawara yake kila mtu ana mambo yake mtaona mpo sawa japo sio sawa kabisa kupitiliza. Safari ya mapenzi yenu kadri inavyosogea mbele ndivyo inavyozidi kuwa kwenye mteremko mkali saa yoyote mapenzi yanakufa unabaki ujamaa.

Rakims
 
1/1(A )vs 15/9(B)

Rakims fanya jambo
 
Me 17/10 P
Ke 4/4 A
Wakati nyie ni rahisi kwenu kuvutika kila mmoja kwa mwenzie, ndivyo hivyo hivyo mvutano kutokea haraka na migongano,

Wewe unaonekana ni mwenye kutafuta furaha na amani, wakati yeye asiyependa utulivu na mwenye kupenda fujo anatafuta changamoto na ulimwengu mpya ajili ya yeye kutawala.

Wewe utamuona yeye kama ni mtu asiye na adabu wala busaras;

Yeye anafikiria wewe ni hopelessly na usiyekuwa teyari kupambana na uhalisia.

Yeye anataka anahitaji kujisikia huru lakini anataka uaminifu usio na shaka kutoka kwa mshirika wake,

na hawezi kukusamehe pale unapokuja kushindwa kufanya uamuzi wa kujitolea kwake.

yeye mwenye shauku pia hukasirishwa na hisia zako duni yaani kushindwa kumletea drama.

Kimwili maelewano ni ya ajabu na mazuri kwa muda,

lakini baada ya hapo nini?

Rakims
 
Mimi KE tarehe 17/1

Yeye ME 11/5
Kwa mtizamo hapa unaonekana wewe na yeye mnaendana kwa asilimia 90 kwa maana ni watu wenye kuendana kiasili ya nyota zenu nyote ni udongo ambapo wewe ni udongo wa pwani na yeye ni mchanga wa fungu hivyo ni watu mnaendana vizuri na pia kindoa mnaingia katika mlango wa 12 yaani ni mlango uliojaa fungo na siri kwako utanufaika sana ukiwa nae na ufuatao ni uchambuzi wenu:

Yeye anaonekana kuvutiwa na makusudio yako katika mahusiano yenu na wewe unafurahia zaidi utulivu wake na upendo kwa ujumla anapokuwa na wewe hujihisi yupo juu na kufarijika zaidi na huvutiwa zaidi na mutikio wako wa mambo yake jinsi unavyokuwa unamakinika nae anajihisi kwako wewe kapata na hata kama bado hajaanza kuonyesha hilo.
Nyote mnashauku sawa za kiardhi na asilia kimwili hisia za pamoja mnakuwa mnaenda vema. Yeye kwako anakuwa kakamatika zaidi kihisia na hujihisi muda wote kwenye mapenzi yeye ni mgeni na wewe ni mwenye kumpokea vema. Pia wivu kati yenu sio tatizo sana kuoneana wivu kwa ziada nyote ni wenye kupenda pesa na ulinzi wa mapenzi hasa kupenda kuwa pamoja pamoja ni watu wenye kutizamia kama wamoja wenye nguvu moja na msiogawanyika mna maelewano ya muda mrefu na mmoja wenu akisema kitu kaelewa basi ni jambo hutoka moyoni nyie wawili ni wenye maridhiano makubwa.

SEHEMU YAKE YA HISIA:
Sehemu zake za hisia ni shingo na koo ndio maeneo ambayo kuna hisia zake kubwa za kiwazimu ikiwa;- utagusa eneo hilo,kumbusu na kutomasa eneo hilo hata kama umekaa nae basi utampandisha kwa kasi sana hisia zake na hasa ukiwa umekaa karibu nae ukawa unamgusa hapo chochote unachosema kinaingia kwenye akili yake na roho yake moja kwa moja kuhusu wewe.

Ukimbusu eneo hilo vizuri na kumng'ata kichokozi akiwa kalala chali na kwenye koo lake basi utaona maajabu.

Fanya mbinu hii pia itakuongezea umaarufu kwake
Mfanyie massage hii ili kuweza kumfanya siku yake yote ajihisi yupo kwenye raha:

(1)Akiwa kalala kwa mgongo wake muwekee mitetemo kwenye shingo yake karibu na mizunguko ya masikio yake kwa kutumia vidole vyako tumia miondoko ya taratibu sana kwa maana sio punda huyu kama kina fulani huyu anataka vitu sensitive rudia hivyo hadi uone vipele vimesimama kwenye mikono yake. (Be very
gentle kuzunguka sehemu ya pipe za hewa kwenye shingo vinginevyo utamniga).

(2) Kumbuka ni mtu mwenye kupenda zaidi kufanyiwa hivyo akiwa kalala kwa tumbo lake hivyo fanya hivyo hadi kukaribia eneo la muunganiko wa uti wa mgongo lakini usitoke nje ya shingo maana umeme utakatika halafu ataona unamtembezea wadudu.

Ukianza kuona vinyweleo vimesimama na vipele basi jua chini hali si shwari wacha niishie hapa na Ramadhan hii nisije nikafanya mambo magumu masaa yamebaki machache.

Ikiwa utamgusa au kumfanyia manjonjo sehemu za shingo yake basi ni mtu mwenye kupata hisia za kiwazimu na wewe eneo lako kubwa la hisia ni maungio yote ya mwilini ikiwa atakupatia sehemu hizo vizuri kama hamjafunga ndoa basi utataka itokee kesho.

Rakims
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…