Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Mkuu asante sanaa.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji119][emoji119]
 
Rakims vip kuhusu tendo la ndoa kutoka kwako je nitapata ?ananizungusha sana
 

Asante sana
 
Athantee

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Naomba kuuliza. Kama ni herufi ipi inatumika hapa? Watu tuna majina mawili.
1. Majina ya Dini
2. Majina ya Asili/Kiafrika.
Lipi ni kina sahihi?
 
Naomba kuuliza. Kama ni herufi ipi inatumika hapa? Watu tuna majina mawili.
1. Majina ya Dini
2. Majina ya Asili/Kiafrika.
Lipi ni kina sahihi?
Jina maarufu linalotambulika na watu wengi
 
Ke: 28/02 M
Me 24/04 K

Mimi ndio Ke
Mahusiano haya yeye anaonekana ni mwenye nguvu, mamlaka na mwenye uwezzo wa kutoa usalama kwako ambaye mara nyingi unakuwa na asili ya kuyumba yumba, Pia yeye ni mtu anaeweza kukuongezea mawazo ya ubunifu kwa kuwa wewe una asili ya ubunifu,

Wewe pia utamletea tabia ya kumjali, na pia kwake yeye utakuwa ni mwenye kujiachia, mkiwa pamoja basi mtahakikisha kuyaweka sawa mapenzi yenu na kuwekana sawa ikiwa ni pamoja na kurekebishana, nyote ni wenye mapenzi ya dhati katika mahusiano haya na wenye hisia kali, ingawa wewe ni mwenye hisia kali zaidi na na tabia yeke yeye ya kutaka kujiweka kuwa mtawala basi hukufanya kujihisi kama kakulinda na kukulindia mapenzi yako.

wakati utawala wake hukufanya wewe kujihisi umelindiwa mapenzi basi ndivyo inavyokuwa kwa maana anakuwa ni kweli kalinda mahusiano yenu na vile vile itafikia sehemu utahisi na kuona kakutosheleza na hutahitajia mwingine tofauti na yeye.

Ikiwa yeye atajirekebisha na kitabia chake cha kutaka usaliti kichini chini basi ni mtu ambaye mnaendanana nae pia katika mahusiano haya.

Rakims
 
Me 07/11-C
Ke 11/11-B
Kati yenu kuna mvuto mkubwa sana wa ngono hapa, lakini joto la kihisia haliwezi kuendelea kuongezeka milele.

Nyie ni watu wawili wanaofanana sana na maelewano kati yenu ni kidogo sana.

Ni wenye wivu wa kupindikia kila mmoja na asili ya mapenzi ya kudai mfano nimefanya hichi wewe hujanifanyia.

Wote ni wakali sana kwamba kila dhoruba ndogo haraka inakuwa kimbunga.

Nyote wawili ni wapenda shari, wenye kuchukizana, kutaka kumilikiana.

Wote wawili mpo kwenye mapambano ya mara kwa mara kulazimisha mwingine kuachia ngazi ya utawala wa mahusiano ama awe ndio sababu ya kuachana.

Mmoja kati yenu hukubali kushindwa na likitokea hilo ni mwisho wa hadithi.

Rakims
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…