Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Ninachokiona ni ww kutumia ad-hominems tu badala ya kuona nimeuweka wazi ushirikina unaoufanya.

Hakuna sehemu nimehalalisha zinaa, kufanya zinaa no tofauti na kuhalalisha zinaa...ukifanya zinaa unakuwa umefanya miongoni mwa madhambi makubwa ambayo hayamtoi mja katika uislam..ila ukihalalisha zinaa unakuwa umetenda Kufr inayokutoa katika uislam. Kaa chini usome misingi ya aqeedah sahihi ya uislam.

Allah amesema kuwa hasamehi dhambi ya kushirikishwa ila anasamehe mengine yasiyokuwa hayo madhali mja ametubia . Ukifa na itikadi yako hiyo ya uchawi na ushirikina (horoscope) unakufa hali ya kuwa upo nje ya uislam.

Btw, hakuna sehemu niliyosema au kujifanya mimi ni mtakatifu,am just a sinner like everybody else but i am not mushrik like you .

Tubia kwa ALLAH na uache ushirikina wako.
 
Yaani haya masuala yako ya horoscope unapelekea watu wavunje ndoa zao wakiamini kuwa nyota zao haziendani....ama kweli Quran imesema kweli kuwa nyinyi wachawi mmejofunza uchawi kwa ajili ya kufarakanisha mke na mume (Ndoa) ili waachane wakiamini kuwa hawaendani ili mumrahisishie kazi baba yenu iblis


Al-Baqarah 2:102

وَٱتَّبَعُوا۟ مَا تَتْلُوا۟ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلْكِ سُلَيْمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيْمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُوا۟ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحْرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلْمَلَكَيْنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنْهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيْنَ ٱلْمَرْءِ وَزَوْجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنْ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذْنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمْ وَلَا يَنفَعُهُمْۚ وَلَقَدْ عَلِمُوا۟ لَمَنِ ٱشْتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنْ خَلَٰقٍۚ وَلَبِئْسَ مَا شَرَوْا۟ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمْۚ لَوْ كَانُوا۟ يَعْلَمُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.
 
Tena hapa unasababisha faraqa baina ya mke na Mume kwa kuwadanganya kuwa hawaendani ki nyota ama kweli QURAN imewabainisha vilivyo enyi wachawi na uchawi wenu wa unajimu.

Al-Baqarah 2:102

وَٱتَّبَعُوا۟ مَا تَتْلُوا۟ ٱلشَّيَٰطِينُ عَلَىٰ مُلْكِ سُلَيْمَٰنَۖ وَمَا كَفَرَ سُلَيْمَٰنُ وَلَٰكِنَّ ٱلشَّيَٰطِينَ كَفَرُوا۟ يُعَلِّمُونَ ٱلنَّاسَ ٱلسِّحْرَ وَمَآ أُنزِلَ عَلَى ٱلْمَلَكَيْنِ بِبَابِلَ هَٰرُوتَ وَمَٰرُوتَۚ وَمَا يُعَلِّمَانِ مِنْ أَحَدٍ حَتَّىٰ يَقُولَآ إِنَّمَا نَحْنُ فِتْنَةٌ فَلَا تَكْفُرْۖ فَيَتَعَلَّمُونَ مِنْهُمَا مَا يُفَرِّقُونَ بِهِۦ بَيْنَ ٱلْمَرْءِ وَزَوْجِهِۦۚ وَمَا هُم بِضَآرِّينَ بِهِۦ مِنْ أَحَدٍ إِلَّا بِإِذْنِ ٱللَّهِۚ وَيَتَعَلَّمُونَ مَا يَضُرُّهُمْ وَلَا يَنفَعُهُمْۚ وَلَقَدْ عَلِمُوا۟ لَمَنِ ٱشْتَرَىٰهُ مَا لَهُۥ فِى ٱلْءَاخِرَةِ مِنْ خَلَٰقٍۚ وَلَبِئْسَ مَا شَرَوْا۟ بِهِۦٓ أَنفُسَهُمْۚ لَوْ كَانُوا۟ يَعْلَمُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na wakafuata yale waliyo zua mashet'ani kuuzulia ufalme wa Su leiman. Na wala Suleiman hakukufuru, bali mashet'ani ndio walio kufuru, wakiwafundisha watu uchawi, na yaliyo teremshwa kwa Malaika wawili, Haaruta na Maaruta katika Baabil. Wala hao hawakumfundisha yeyote mpaka wamwambie: Hakika sisi ni mtihani; basi usikufuru. Wakajifunza kwa hao wawili yale ya kumfarikisha mtu na mkewe. Wala hawawezi kumdhuru mtu ila kwa kutaka Mwenyezi Mungu. Na wanajifunza yatayo wadhuru wala hayawanufaishi. Na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika Akhera. Na hakika ni kiovu mno walicho jiuzia nafsi zao laiti wangelijua.
 
Ngoja nikutabirie kwanza wewe
Hamuachani mpaka mbingu iseme pooh
Tulia tu na mama chanja
Hahahahahhaha!.

Endapo mtoa Mada atatoa majibu mengine tofauti na yako nitamtimua. Haya ndiyo majibu sahihi mno.

Twende kwako sasa..
 
Hahahahahhaha!.

Endapo mtoa Mada atatoa majibu mengine tofauti na yako nitamtimua. Haya ndiyo majibu sahihi mno.

Twende kwako sasa..

Umtimue aende wapi sasa ubavu wako wa pili

Ke 15/02
Me 22/01 [emoji23][emoji23]
Uchawi huu ndugu yangu
 
Mkuu ukipata muda niangalizie hapa kabla sijamuweka ndani huyu mwali

Mimi ni mwanaume

Jina: J
Kuzaliwa: 20 mwezi 08

Yeye

Jina: E

Kuzaliwa: 02 mwezi 04
 
Haya [mention]Rakims [/mention] Sijawahi kuamini kwenye mambo ya nyota ila kama ukipatia hapa lazima niamini na ntakutafuta

Mimi Me : 03/01 (Herufi ya kwanza D)

yeye ke : 25/09 (Herufi ya kwanza H)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…