Karibu mkuu kwa mtizamo unaonyesha wewe ni mwenye tabia za Maji yaliyotulia na yeye ni Upepo wa juu hivyo kwa mfuatano huu wa mahusiano nasikitika kukujuza kuwa hamuendani na mtaacha unless uwe mtumwa wake nayo utavumilia kwa muda kisha yatakushinda utatafuta pengine
Japokuwa ni watu mnapendezana mkiwa pamoja,wabunifu na mapenzi yenu yanaweza kujaa kujidanganya ni watu ambao mkikutana mnaweza kuingia haraka sana kwenye mapenzi na yakawa moto lakini ni short fuse. Wewe unategemewa kuwa ni mtu mwenye kupenda kusaidiwa kihisia katika mapenzi na ni mtu mpole na mkimya mwenye upepo kwa watu tofauti tofauti lakini hutapata kujaliwa kihisia kwake kwa maana yeye hupenda mapenzi ya kujirusha na ya kukimbia kimbia japo anaweza kukuigizia ni mtulivu ni mtu ambaye hata kuvumilia muda mrefu anaweza kukukimbia unless utumie nguvu za ziada pia nyote mnaonekana kupenda kuwa pamoja nyumbani japo wewe kimtizamo wa akili yake anakuona ni mzembe katika kutafuta pesa na hali ya kuwa yeye ni mtu wa kutaka kufurahisha nafsi yake na mwenye matumizi. Mara nyingi akiwa na wewe atajiona kabanika na hana uhuru wa kufanya anayoyataka kitu ambacho humfanya kukuchukia taratibu ni watu ambao hamtoshani kimwili na vile vile kwa kuwa tu mnafikishana basi lakini kama mtakuwa ni marafiki tu wa mbali watu wanawaita wapasha viporo mtaendana.
mnaonekana kuendana tu kwa asilimia 29
SEHEMU ZA HISIA.
Ni mtu mwenye hisia zaidi katika kiuno chake kama unataka kumpumbaza katika tendo basi muombe kucheza cheza nae ili akikatika uwe umemshika kiuno na ukimgusa kisehemu kile wanachotumia kuchoma sindano za matak* basi yeye huhisi raha sana na hisia za kiwazimu na pia anapenda kuoga pamoja hasa ukimsponge eneo hilo na makalio yake
Ukifanya utundu zaidi eneo hilo chochote unachotaka atafanya lakini ndio hivyo mtaishia njiani
Rakims