Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

Jina langu linaanzia na R na tarehe ni 18 February
Yeye linaanzia na A na tarehe yake ni 27 February
 
Huyu anachokifanya n kuingia google na kuangalia zodiac signs za watu ndo atakapowapa majibu sasa inachukua mda kwahyo mweny uzi kajikomoa mwenywe, by the way hata wewe mwenywe unaweza kuangalia and trust me vtu vya huko n ukwel mtupu kwa asilimia kubwa
Ama kwa hakika humu kuna watu mna dhalau sana na kashfa za kichini chini. Kuna vitabu si chini ya elfu 2 vinazungumzia hizi vitu na ukienda google hukuti anyway.
It where we dare to talk openly even imbecile can quote us.
 
Jina langu linaanzia na R na tarehe ni 18 February
Yeye linaanzia na A na tarehe yake ni 27 February
Sawa kwa hapa mtizamo wenu unaonekana kuwa sawa na maelekezo niliyotoa hapa;

Sawa kwa mtizamo huu unaonekana ni mtu mwenye asili ya upepo wa kimbunga na yeye anaonekana ana asili ya maji yaliyotulia
Hivyo kwa mtizamo ni watu ambao hamuendani maana mnaendana kwa asilimia 38 ambazo ni ndogo sana katika mahusiano yenu na ufuatao ni uchambuzi wako;

Unaonekana ni mtu mwenye kuvutiwa na haiba yake ya kimapenzi na vile vile yeye anavutiwa zaidi na maadili na maono yako dimbwi lake la mawazo anaonekana kuliwazika zaidi na chochote kile ambacho wewe unataka kwake na ni watu wenye uwezo mzuri wa kufikishana kwenye ladha ya mapenzi. Ingawa kwa vyovyote vile mnavyokuwa mambo huanza kwenda kombo pale ambapo yeye huanza kutaka na kulazimisha zaidi wewe kwenda katika ulimwengu wake wa ndoto za mchana katika mapenzi na kuota kufanya mambo makubwa na kukulazimisha kufanya hata kama huna uwezo navyo yeye ni mtu mwenye kutaka mtu ambaye atakuwa thabiti katika kumuongoza kila wakati na kumpeleka kimazungumzo anavyotaka yeye na ni uwe mtumwa wake zaidi ndivyo yeye anavutika zaidi hivyo mtu anaemfaa zaidi huyu ni wenzie either mwenye maji moto au maji ya bahari kwa wewe ni bora uangalie uelekeo mwingine kwa maana hapo utapasuka roho.

SEHEMU ZAKE ZA HISIA;

Miguu ndio sehemu yake kuu ya hisia ukiweza kucheza nae vizuri hapo unaweza kupewa unachotaka.
 
IKIWA BADO SIJAKUCHAMBULIA NA NIMERUKA QUOTE YAKO BASI WAWEZA KUIRUDIA HAPA
 
Kuna watu wanajua kugeuza wenzao ma zombie .hona acho wafanya huyu bwana mna shuka tu [emoji81][emoji81]
 
Karibu mkuu kwa mtizamo unaonyesha wewe ni mwenye tabia za Maji yaliyotulia na yeye ni Upepo wa juu hivyo kwa mfuatano huu wa mahusiano nasikitika kukujuza kuwa hamuendani na mtaacha unless uwe mtumwa wake nayo utavumilia kwa muda kisha yatakushinda utatafuta pengine
Japokuwa ni watu mnapendezana mkiwa pamoja,wabunifu na mapenzi yenu yanaweza kujaa kujidanganya ni watu ambao mkikutana mnaweza kuingia haraka sana kwenye mapenzi na yakawa moto lakini ni short fuse. Wewe unategemewa kuwa ni mtu mwenye kupenda kusaidiwa kihisia katika mapenzi na ni mtu mpole na mkimya mwenye upepo kwa watu tofauti tofauti lakini hutapata kujaliwa kihisia kwake kwa maana yeye hupenda mapenzi ya kujirusha na ya kukimbia kimbia japo anaweza kukuigizia ni mtulivu ni mtu ambaye hata kuvumilia muda mrefu anaweza kukukimbia unless utumie nguvu za ziada pia nyote mnaonekana kupenda kuwa pamoja nyumbani japo wewe kimtizamo wa akili yake anakuona ni mzembe katika kutafuta pesa na hali ya kuwa yeye ni mtu wa kutaka kufurahisha nafsi yake na mwenye matumizi. Mara nyingi akiwa na wewe atajiona kabanika na hana uhuru wa kufanya anayoyataka kitu ambacho humfanya kukuchukia taratibu ni watu ambao hamtoshani kimwili na vile vile kwa kuwa tu mnafikishana basi lakini kama mtakuwa ni marafiki tu wa mbali watu wanawaita wapasha viporo mtaendana.
mnaonekana kuendana tu kwa asilimia 29

SEHEMU ZA HISIA.
Ni mtu mwenye hisia zaidi katika kiuno chake kama unataka kumpumbaza katika tendo basi muombe kucheza cheza nae ili akikatika uwe umemshika kiuno na ukimgusa kisehemu kile wanachotumia kuchoma sindano za matak* basi yeye huhisi raha sana na hisia za kiwazimu na pia anapenda kuoga pamoja hasa ukimsponge eneo hilo na makalio yake
Ukifanya utundu zaidi eneo hilo chochote unachotaka atafanya lakini ndio hivyo mtaishia njiani

Rakims
Na shida ndio inaanzia hapa na mwanaume atalazimisha kumuowa huyohuyo matokeo yake vilio vya kwenye ndoa za kisasa haviishi.
 
Back
Top Bottom