Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I second this. She is exceptional.Rose muhando
Atufafanulie kwanza ndio wengine tuanze kuchangia.Genius kwenye kipengere gani mkuu. IQ kubwa au fani yake? Kama u-genius kwenye fani yaani mbinu za kuji-adjust kwenye industry yake nampa kura diamond platnumz, kama genius unamaanisha IQ hapo sijui kwa kweli sina taarifa za kitaaluma za msanii yoyote.
toka 2010 bado unauelewa mdogo tuu dah🙁🙁Genius kivipi yaani?
Ulipaswa utoe sababu kwa nn unahisi huyo nu namba 1Kwa mimi binafsi naona
1.Nikki mbishi wa tamaduni muzik
2.Leonardo wa cheka tu
Taja wa kwako
Nyerere ni msanii?2. Pia kwa Afrika ya zamani ( wakati wa Ukoloni ) na ilivyokuwa huku Waafrika wote wakiutafuta Uhuru wao kwa njia ya Vita kutoka kwa Wazungu ( Wakoloni ) ili waupate lakini kwa Tanzania Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. wala hakutumia Nguvu au Silaha Kuuomba kutoka kwa Wazungu na badala yale alitumia tu Akili, Hekima na Busara hivyo Kwangu nae ni Genius wangu.
Neno genius huenda halieleweki maana yakeMwana FA
Alikiba
20%
Roma
Jide
Professor J
Mangwea
John makin
The list goes on...
huyo fala anaharishia mdomoni achana nae mpotezeeHalafu wewe mwamba ni noma sana, una mitusi kichizi, umeishiishi kwa wasrabu nini? Yaani wewe ni Jenniuz kinoma.. nipe tano mazee
Diploma ya computer engineeringKuhusu Niki mbishi kuwa na bachelor degree umetupiga kiongozi siyo kweli abadani.
Hapa tunakubalianaDiploma ya computer engineering
Hakuna binadamu anayeweza kutumia nusu ya uwezo wake hata nikola Tesla hakuweza kutumia nusu ya uwezo wake!Lady jay dee ana akili nyingi sana sema hajatumia hata nusu ya uwezo wake my be kutokana na circle yake inayomzunguka
Professor Jay ana akili sana
Bad lucky maradhi yamekatisha njiani