Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

2. Pia kwa Afrika ya zamani ( wakati wa Ukoloni ) na ilivyokuwa huku Waafrika wote wakiutafuta Uhuru wao kwa njia ya Vita kutoka kwa Wazungu ( Wakoloni ) ili waupate lakini kwa Tanzania Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. wala hakutumia Nguvu au Silaha Kuuomba kutoka kwa Wazungu na badala yale alitumia tu Akili, Hekima na Busara hivyo Kwangu nae ni Genius wangu.
Nyerere ni msanii?
 
Lady jay dee ana akili nyingi sana sema hajatumia hata nusu ya uwezo wake my be kutokana na circle yake inayomzunguka

Professor Jay ana akili sana
Bad lucky maradhi yamekatisha njiani
Hakuna binadamu anayeweza kutumia nusu ya uwezo wake hata nikola Tesla hakuweza kutumia nusu ya uwezo wake!
 
Back
Top Bottom