Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
5000Battery mah ngap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5000Battery mah ngap?
sure mkuuDuh!
Ulikuwa unafaidi kweli mkuu.
Nina chaji ya Kichina ya 15W, japo ni 15W lakini inajaza kwa masaa mawili
Lazma ujue cm yako ni Watt ngapi co kila ktu kinawezekan kirahis mzee. Unawez ukawa ma chaja ya watt 40 wakat cm yako ni watt 15 hapo utakuw unauwa battery kwahyo chunguza uwezo wa cm yako ndipo ujue unahitaj Chaja ipi na itqjaza kwa mda gan.Natumia smartphone yenye technology ya 15W fast charging, techie hii inasapoti kuchaji simu ijae ndani ya dakika 20, nafikiri inasapoti mpaka chini ya hapo.
Nitajieni wadau, nimechoka kuchaji simu masaa mawili mazima.
Hii ina 65W charging system.... Huwezi kuilinganisha na yenye charging system ya 15W..... Ukitumia chaja yako ya Oppo kuchajia simu ingine haiwezi kuijaza kwa huo muda unaotumia wewe..
Simu gani?
Kwahiyo hawa wenye 15W kama zetu wanaosema simu zao zinajaa haraka ndani ya dakika kadhaa wanatuongopea?, comments nyingi za huu uzi kama zinakataa hilo jambo
Bado tunarudi hapo happy ambapo hujaelewa .. 5v 3A ni 15w pia 9v 1.67A nayo ni 15w 😁Sijui kichwa changu kina mambo mengi?!, hizo physics sijakuelewa mkuu.
Anway, tuachane nazo tusirefushe muda. Natumia Samsung S10.
Kwa mwenye simu ya 15W anunue chaja gani ajaze haraka simu yake?
Sio kweli15W uwezo wake ni dakika ngapi?
Kwenye uzi fulani humu JF nimeona mtu mmoja anasema Samsung A12 yake anaichaji ndani ya 20 tu. A12 ni 15W
Ni kweliSio kweli
Nilikuwa na 11T Pro, natumia asubuhi napo jiandaa naiweka kwenye charge namaliza kuoga simu imejaa 😀😀 Jamaa wapo vizuri sanaAisee zile charger za Redmi ni balaa,ukienda chooni ukirudi simu imejaa😂
Milli-Ampere HoursHii "mah" ndo nini wakuu?
Hii ina 65W charging system.... Huwezi kuilinganisha na yenye charging system ya 15W..... Ukitumia chaja yako ya Oppo kuchajia simu ingine haiwezi kuijaza kwa huo muda unaotumia wewe..
🤔On a serious note , fast chargers zina compromise uhai wa battery, battery nyingi zinapenda kujazwa taratibu
Simu gani?
Kwahiyo hawa wenye 15W kama zetu wanaosema simu zao zinajaa haraka ndani ya dakika kadhaa wanatuongopea?, comments nyingi za huu uzi kama zinakataa hilo jambo