Nitajieni fast charger nzuri ya kuchaji simu ijae full chini ya dakika 40

P::=itv
 
Fast charging inaheat zaidi kuliko slow charger.
 
Pia fast charging zina standard, Charger za BBK zonachaji kampuni zao tu. Mfano fast charger ya Oppo itacharge oneplus, Vivo na realme tu ila haita fast charge Xiaomi ama Samsung.

Charge ambazo zina fast charge simu zote ni zile ambazo zina rating ya power delivery.
 
Ninatumia 120W, trust me inayochemka ni chaja tuu, simu inachemka kidogo.. Na hata ikichemka ni dakika 10 mpaka 20 tuu, ikifika 100 tuu inapoa hapohapo.

Nikilinganisha na simu ya 15W niliyokuwa natumia, ilikuwa inachemka for one good hour.
Unashika kwa mkono ama unatumia kifaa maalum kupima? Kama thermometer/thermo camera? Ni simu gani?
 
Unashika kwa mkono ama unatumia kifaa maalum kupima? Kama thermometer/thermo camera? Ni simu gani?
Daah hayo mavifaa tunayatoa wapi mkuu...

Nimelinganisha kati ya simu ya zamani na hii ya sasa, pia ya mke wangu na yangu. Ya wife ina 18W charger na yangu ina 120W charger. Na yake huwa inachemka zaidi.

Point yangu ni kwamba ikiwa "Heat" ndiyo kweli chanzo cha kudegrade betri, basi fast charger zina uafadhali maana japokuwa zinachemka lkn ni kwa muda mfupi.
 
On a serious note teknolojia inakua, simu nyingi zinazotoka nowdays hukuti yenye chini ya 35W..

Flagships zoote hakuna yenye chini ya 67W kwa sasa..
Flagships are overrated!!
A 60w charger haina maajabu mengi na ni moja ya mbinu zinazitumika kuifanya flagship ziwe ghali.
Ndio maana midrangers zinakaa sana na chaji kuliko flagship
 

Natumia iphone 8 mini, nimesoma ina 18W

Charger yangu ndio hiyo hapo juu sijui ina W ngapi

Hebu nijuzeni ina W ngapi na ni sahihi kwa simu yangu kwa maana ya kupokea 18W au charger inanichelesha?
 
View attachment 2322689
Natumia iphone 8 mini, nimesoma ina 18W

Charger yangu ndio hiyo hapo juu sijui ina W ngapi

Hebu nijuzeni ina W ngapi na ni sahihi kwa simu yangu kwa maana ya kupokea 18W au charger inanichelesha?
Soma hapo output kisha zidisha
9x1.67 unapata 15.03, hio ni 15W.

Pia iphone zinatumia power delivery protocal, hivyo haitapokea umeme wa fast charging toka charger za Rapid charge, warp charge, vooc, Quick charge etc.
 
Soma hapo output kisha zidisha
9x1.67 unapata 15.03, hio ni 15W.

Pia iphone zinatumia power delivery protocal, hivyo haitapokea umeme wa fast charging toka charger za Rapid charge, warp charge, vooc, Quick charge etc.

Nimekusoma mambo mawili

Mosi
Kwa muktadha huo inamaa simu yangu inapokea kidogo 15W kuliko inavyotakiwa 18W...... happ kuna kuchelewa kujaa


Pili
Je ina maana hii charge ninayo tumia ni katika hizo ambazo iphone haipokei fast charging?

Natumia kama masaa 2 au 3 kuijaza full
 
Ndio mkuu kuna uwezekano hata hio 15W huipati, unapata tu 5W ama 10W.

Kuna app inaitwa Ampere check app store sijajua kama mpaka leo inapima current. Download halafu wakati unacharge ifungue uangalie.
 
Unashauriwa usiache simu ikafika 0℅ ndio uchaji halafu isifikie 100% . Battery ikifika 10-15% chomeka chaja ikifika 85-95 chomoa
 
sure mkuu
Mimi natumia fast charger hii inacharge i phone 100 % within 20-30 minutes, ziko aina nyingi bei yake iko juu kulinganisha na chaja za kawaida,lakini utasahau usumbufu wa kuchaji mara kwa mara, inauzwa na cable yake
 

Attachments

  • 18B8AB52-7425-4059-9C34-89194065CE71.jpeg
    429.6 KB · Views: 24
  • 61A03669-AC23-4A35-B88D-78194B174C84.jpeg
    431.4 KB · Views: 23
Mimi natumia fast charger hii inacharge i phone 100 % within 20-30 minutes, ziko aina nyingi bei yake iko juu kulinganisha na chaja za kawaida,lakini utasahau usumbufu wa kuchaji mara kwa mara, inauzwa na cable yake
Hii sijawahi kuiona, ngoja nitaijaribu niione
 
On a serious note teknolojia inakua, simu nyingi zinazotoka nowdays hukuti yenye chini ya 35W..

Flagships zoote hakuna yenye chini ya 67W kwa sasa..
Sio kweli...iphone 13 pro max inachaji up to 27W...Samsung S22 ultra inachaji up to 45W.
 
Fast charging inatengeneza joto jingi na ndo maana nyingi zikifika 80% zinaanza kuslow down ili zicool simu kupunguza temp iliyokuepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…