200k tu!! Hebu aache ubahili. Aongezepo kamilioni ndio iwe goodbye.
Hakuna haja yakuitana tena business partner sio.Japo hii ni chai.
Ndio hapo ujue MUNGU ana maajabu yake. Yule binti aliumiza sana kichwa kuipata hiyo hela. Akakutumia wewe rafiki wa babaake unarudisha fadhira kwa njia zingine.
Kuhusu mpususu achana nae. Jinsi ya kumkwepa mwambie ukweli kuhusu kiongozi wako kuwa umegundua ndio babaake. Hivyo umefurahi sana. Mueleze mnavyoheshimiana. Hivyo mwambie kuanzia leo,wewe ni kakaake. Asisite kukuomba ushauri wowote
Halafu punguza kujishaua Kwamba mliooa wiki haipiti bila kula mbususu hivi huu uongo unamdanganya Nani wewe kima?
Yaani watu mnahangaika kumshauri jamaa apotezee...
Ni hivi hadi huyu mdau anaweka huu uzi, comments anazotaka ni zile za kumpa moyo kuwa aache ujinga achape huyo binti...
Wewe ni nani? Mzinzi?Mimi sio muasherati.
Hiyo biashara ishaingia mafuta ya taa Kaka. Kuendelea nae ni kama kujipalia mkaa.
Mkuu huyu jamaa mi naona ashafanya uamuzi moyoni mwake, anatafuta tu kuungwa mkono...
Naamini kabisa huyo binti atamegwa...
Sitafanya hivyo. Jamaa tunaheshimiana sana!! Comment yake kwenye kazi zangu inamaana kubwa sana.Mkuu huyu jamaa mi naona ashafanya uamuzi moyoni mwake, anatafuta tu kuungwa mkono...
Naamini kabisa huyo binti atamegwa...
Mwanaume ambaye ameoa na anahangaika na wanawake wengine ni mzinzi na muasherati wala hilo sio tusi.Kwanini unanitukana sasa?
Teh teh teeeeh[emoji848][emoji848][emoji848]Mpeni huo ushauri sasa, wengine tumeshastaafu tunafanya mambo mengine kabisa. Matukio ya rejareja sio sehem yetu tena.