Nitakosea nikiendelea na huyu Binti? Roho inaniuma sana

Nitakosea nikiendelea na huyu Binti? Roho inaniuma sana

Japo hii ni chai.

Ndio hapo ujue MUNGU ana maajabu yake. Yule binti aliumiza sana kichwa kuipata hiyo hela. Akakutumia wewe rafiki wa babaake unarudisha fadhira kwa njia zingine.

Kuhusu mpususu achana nae. Jinsi ya kumkwepa mwambie ukweli kuhusu kiongozi wako kuwa umegundua ndio babaake. Hivyo umefurahi sana. Mueleze mnavyoheshimiana. Hivyo mwambie kuanzia leo,wewe ni kakaake. Asisite kukuomba ushauri wowote
 
Japo hii ni chai.

Ndio hapo ujue MUNGU ana maajabu yake. Yule binti aliumiza sana kichwa kuipata hiyo hela. Akakutumia wewe rafiki wa babaake unarudisha fadhira kwa njia zingine.

Kuhusu mpususu achana nae. Jinsi ya kumkwepa mwambie ukweli kuhusu kiongozi wako kuwa umegundua ndio babaake. Hivyo umefurahi sana. Mueleze mnavyoheshimiana. Hivyo mwambie kuanzia leo,wewe ni kakaake. Asisite kukuomba ushauri wowote
Hakuna haja yakuitana tena business partner sio.

Nashukuru kwa ushauri.
Hichi ni kisa cha kweli na jana tu ndio nimegundua hali halisi.
 
Yaani watu mnahangaika kumshauri jamaa apotezee...

Ni hivi hadi huyu mdau anaweka huu uzi, comments anazotaka ni zile za kumpa moyo kuwa aache ujinga achape huyo binti...
 
Halafu punguza kujishaua Kwamba mliooa wiki haipiti bila kula mbususu hivi huu uongo unamdanganya Nani wewe kima?

Nimeuliza hilo swali kwa mshangao pia. Inamaana huyu mwamba wife akijifungua inakuaje?

Mbona na sie tunasafiri sana tu lakini huko ugenini hatulazimiki kutafuta masuria?
 
Mkuu huyu jamaa mi naona ashafanya uamuzi moyoni mwake, anatafuta tu kuungwa mkono...

Naamini kabisa huyo binti atamegwa...

Nimekuelewa vizuri sana, na nikiwa kama mwanaume naelewa hali aliyonayo..

Lakini nnachomshauri apime mwenyewe mahusiano yataathiri vipi ukaribu wa yeye na Boss wake? Je, kumtafuna huyo binti ni kitu cha thamani kuhatarisha mazingira ya kazi?
 
Mkuu huyu jamaa mi naona ashafanya uamuzi moyoni mwake, anatafuta tu kuungwa mkono...

Naamini kabisa huyo binti atamegwa...
Sitafanya hivyo. Jamaa tunaheshimiana sana!! Comment yake kwenye kazi zangu inamaana kubwa sana.
Nachofanya nikumpotezea huyu binti kimapenzi, kama mdau alivyoshauri hapo juu! Nitamweleza kuhusu Baba yake hata hiyo kazi niliyoenda kuifanya hadi nikakutana nae nilipangiwa na Baba yake.
 
Niachie namba yake PM bro!
Serious joke😂😂
Napenda sana wapbanaji Ila uyu amekirisa,😂
 
Kwa hiyo Boss wako alikua hajui kakupangia kazi maeneo ambayo binti yake yupo.

Na wewe katika stori zenu za kazi, biashara na huyo binti hakujua unafanya kazi na baba yake.

Halafu ukatuma 200K
 
Back
Top Bottom