Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Walileta mazoea mpk kufikia kuhatarisha kiti kikuu, ila kuwa na amani kwani wote waliotemeshwa watafuatiliwa nyendo na mawasiliano yao hivyo hawatokuwa na madhara, Lakini pia itakuwa imekata mnyororo wa uvujaji wa taarifa nyeti.
Haiwezi kukata mnyororo wa uvujaji taarifa nyeti kama mambo yanayofanyika hayana tija kwa Taifa ila kwa hao viongozi peke yake. Kuna wakati ni rahisi sana kudanganya nafsi zetu wenyewe. Tuanze kutumikia kwa uadilifu Taifa. Mengine yote kinyume na hilo, ni recipe for a disaster. Namuangalia Zuma nacheka. Yes alikuwa spy mkubwa ila ameingia kwenye hali ile kwa kuamua.
Tuache rushwa na matumizi mabaya ya madaraka