Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Jeshi wana unit yao kabisa nje ya hii yenye raia. Sitoitaja but hii tuilio izoea ina paramilitary officers ambao hawako tied to majeshi yetu ila wana operate kama independent unit, na hushirikiana na majeshi mengine likija suala la kushughulikia case zinazohitaji direct action, sabotageHii taasisi ina upande wa jeshi na upande wa uraiani,,,huku uraiani walileta upuuzi wao wakavumiliwa sasa wakajisahau wakapitiliza na ambao wamechomolewa wengi ni wa upande wa mabakabaka......unamdharau rais huku unajua pia ni amiri jeshi mkuu,, watu wameyakanyaga
Hii taasisi ina upande wa jeshi na upande wa uraiani,,,huku uraiani walileta upuuzi wao wakavumiliwa sasa wakajisahau wakapitiliza na ambao wamechomolewa wengi ni wa upande wa mabakabaka......unamdharau rais huku unajua pia ni amiri jeshi mkuu,, watu wameyakanyaga