Nitakuwa wa mwisho kabisa Kuiamini hii Taarifa japo kwa 50% namkumbali na namheshimu aliyeitoa

Nitakuwa wa mwisho kabisa Kuiamini hii Taarifa japo kwa 50% namkumbali na namheshimu aliyeitoa

Hii taasisi ina upande wa jeshi na upande wa uraiani,,,huku uraiani walileta upuuzi wao wakavumiliwa sasa wakajisahau wakapitiliza na ambao wamechomolewa wengi ni wa upande wa mabakabaka......unamdharau rais huku unajua pia ni amiri jeshi mkuu,, watu wameyakanyaga
Jeshi wana unit yao kabisa nje ya hii yenye raia. Sitoitaja but hii tuilio izoea ina paramilitary officers ambao hawako tied to majeshi yetu ila wana operate kama independent unit, na hushirikiana na majeshi mengine likija suala la kushughulikia case zinazohitaji direct action, sabotage
Hii taasisi ina upande wa jeshi na upande wa uraiani,,,huku uraiani walileta upuuzi wao wakavumiliwa sasa wakajisahau wakapitiliza na ambao wamechomolewa wengi ni wa upande wa mabakabaka......unamdharau rais huku unajua pia ni amiri jeshi mkuu,, watu wameyakanyaga
 
Nadhani hiyo ni lugha tu ya kijasusi!

Lakini kiuhalisia ni ngumu sana!!

Nafikiri anapata joto kali Toka Kwa Tabasamu anaeandaa vijana wake waje wawe!!

Lakini hiyo haitagusa high profile kubwa sana kwenye mfumo ambao ni ngumu kuwatoa wala kuwahoji!

Halafu kwanini taarifa kama hii imevuja!!?hasara ya kuvuja hii taarifa ni kubwa sana labda kama ni propaganda!!

Waingize wazalendo walio neutral kuliko kuendeleza vita ndani ya chama na Mitandao yake!!
 
Jeshi wana unit yao kabisa nje ya hii yenye raia. Sitoitaja but hii tuilio izoea ina paramilitary officers ambao hawako tied to majeshi yetu ila wana operate kama independent unit, na hushirikiana na majeshi mengine likija suala la kushughulikia case zinazohitaji direct action, sabotage
Kikubwa ndo hicho hii ngoma watu wameenda pabaya.....hata hao paramilitary ndo ma connector wa uraiani na jeshini
 
Kuwa Taasisi Moja muhimu Tanzania ambayo Watendaji wake Wanaogopwa sana tu imefuta Kazi Wafanyakazi wote.

Jamani hivi unawezaje kufuta Kazi Watendaji wote ambao 99% yao wanajua Taarifa zote Muhimu ambazo hata akina GENTAMYCINE hatutakiwi kuzijua au hata tu kuzihisi? Hivi tunajua kuwa Kitendo cha kufuta Kazi Watendaji wote wa Taasisi hiyo ni Kulivalisha BOMU la HATARI kabisa Taifa letu?

Ningeambiwa kuwa Taasisi imeamua Kufuta Kazi baadhi ya Watendaji wake kutokana na Uzembe au Ufanisi Haba wa Kiutendaji ningekubali na pia hata kuunga mkono kwani hata Mimi mara kadhaa hapa hapa JamiiForums nimeshasema kuwa Taasisi inahitaji madadiliko makubwa.

Tena kwa Mataifa makubwa yanayojua nini maana ya hiyo Taasisi kama ya Urusi, Israeli, Uingereza na Ufaransa yao yakifikia tu huu Uamuzi huwa hawaishii tu Kuwaondoa Kazini ( Taasisini ) bali huhakikisha pia wanapiga Sindano za Sumu ili kila baada ya muda Mmoja Mmoja anakufa.

Na kama hii Taarifa ni Kweli basi ninajua hivi sasa Ndugu yangu 'Sinenepi ila nina Akili Nyingi' hapo jirani kafurahi. Na pia kama hii Taarifa ni ya kweli basi nina uhakika kuwa kuna Mtanzania Mmoja si tu Katuchoka bali pia Katuchukia sana na sasa anataka kutuingiza Matatizoni ili akaishi zake Uarabuni.
Serikali hii ina mambo ya kipumbavu sana aisee!
 
"unanijua mimi nani" jibu likatoka kwa mlevi "matak""0 ya mbwa" kusikia hivyo yule kijana akatoa macho kwa jazba akijipapasa kiunoni akijitutumua bila shaka alikuwa na mguu wa kuku. Huwezi kutafuta heshima sehemu za starehe kwa kuitumia cheo au mamlaka Yako.
Kuna watu wa hivyo sana kwenye hivi vitengo najiuliza wanafanyiwa vetting au ndio zile kazi za ukoo.
 
Kuwa Taasisi Moja muhimu Tanzania ambayo Watendaji wake Wanaogopwa sana tu imefuta Kazi Wafanyakazi wote.

Jamani hivi unawezaje kufuta Kazi Watendaji wote ambao 99% yao wanajua Taarifa zote Muhimu ambazo hata akina GENTAMYCINE hatutakiwi kuzijua au hata tu kuzihisi? Hivi tunajua kuwa Kitendo cha kufuta Kazi Watendaji wote wa Taasisi hiyo ni Kulivalisha BOMU la HATARI kabisa Taifa letu?

Ningeambiwa kuwa Taasisi imeamua Kufuta Kazi baadhi ya Watendaji wake kutokana na Uzembe au Ufanisi Haba wa Kiutendaji ningekubali na pia hata kuunga mkono kwani hata Mimi mara kadhaa hapa hapa JamiiForums nimeshasema kuwa Taasisi inahitaji madadiliko makubwa.

Tena kwa Mataifa makubwa yanayojua nini maana ya hiyo Taasisi kama ya Urusi, Israeli, Uingereza na Ufaransa yao yakifikia tu huu Uamuzi huwa hawaishii tu Kuwaondoa Kazini ( Taasisini ) bali huhakikisha pia wanapiga Sindano za Sumu ili kila baada ya muda Mmoja Mmoja anakufa.

Na kama hii Taarifa ni Kweli basi ninajua hivi sasa Ndugu yangu 'Sinenepi ila nina Akili Nyingi' hapo jirani kafurahi. Na pia kama hii Taarifa ni ya kweli basi nina uhakika kuwa kuna Mtanzania Mmoja si tu Katuchoka bali pia Katuchukia sana na sasa anataka kutuingiza Matatizoni ili akaishi zake Uarabuni.
Dah
 
Nadhani hiyo ni lugha tu ya kijasusi!

Lakini kiuhalisia ni ngumu sana!!

Nafikiri anapata joto kali Toka Kwa Tabasamu anaeandaa vijana wake waje wawe!!

Lakini hiyo haitagusa high profile kubwa sana kwenye mfumo ambao ni ngumu kuwatoa wala kuwahoji!

Halafu kwanini taarifa kama hii imevuja!!?hasara ya kuvuja hii taarifa ni kubwa sana labda kama ni propaganda!!

Waingize wazalendo walio neutral kuliko kuendeleza vita ndani ya chama na Mitandao yake!!
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI unatakiwa kujua system haitegemei MTU, bali watu ndio wanaitegemea system, Hata raisi akistaafu hana commands Zaidi ya kufanya figisu na majungu Tu,

Watu ss ivi wako kitaa wameweka mikono mashavuni, kuna Siri gani hapo SS.
Kama Wao ni wanaume wa Kweli watikisike waone 🔥.
 
Kuwa Taasisi Moja muhimu Tanzania ambayo Watendaji wake Wanaogopwa sana tu imefuta Kazi Wafanyakazi wote.

Jamani hivi unawezaje kufuta Kazi Watendaji wote ambao 99% yao wanajua Taarifa zote Muhimu ambazo hata akina GENTAMYCINE hatutakiwi kuzijua au hata tu kuzihisi? Hivi tunajua kuwa Kitendo cha kufuta Kazi Watendaji wote wa Taasisi hiyo ni Kulivalisha BOMU la HATARI kabisa Taifa letu?

Ningeambiwa kuwa Taasisi imeamua Kufuta Kazi baadhi ya Watendaji wake kutokana na Uzembe au Ufanisi Haba wa Kiutendaji ningekubali na pia hata kuunga mkono kwani hata Mimi mara kadhaa hapa hapa JamiiForums nimeshasema kuwa Taasisi inahitaji madadiliko makubwa.

Tena kwa Mataifa makubwa yanayojua nini maana ya hiyo Taasisi kama ya Urusi, Israeli, Uingereza na Ufaransa yao yakifikia tu huu Uamuzi huwa hawaishii tu Kuwaondoa Kazini ( Taasisini ) bali huhakikisha pia wanapiga Sindano za Sumu ili kila baada ya muda Mmoja Mmoja anakufa.

Na kama hii Taarifa ni Kweli basi ninajua hivi sasa Ndugu yangu 'Sinenepi ila nina Akili Nyingi' hapo jirani kafurahi. Na pia kama hii Taarifa ni ya kweli basi nina uhakika kuwa kuna Mtanzania Mmoja si tu Katuchoka bali pia Katuchukia sana na sasa anataka kutuingiza Matatizoni ili akaishi zake Uarabuni.
🥺
 
Mkuu NAMBA MOJA AJAYE NCHINI unatakiwa kujua system haitegemei MTU, bali watu ndio wanaitegemea system, Hata raisi akistaafu hana commands Zaidi ya kufanya figisu na majungu Tu,

Watu ss ivi wako kitaa wameweka mikono mashavuni, kuna Siri gani hapo SS.
Kama Wao ni wanaume wa Kweli watikisike waone 🔥.
Kuna vitu Huwa nawashangaa sana watu!!

Unafanyaje hujuma Kwa muajiri mkuu Tena ukijua fika kwamba IPO siku atajua!!?

Halafu Ili iweje!!?kama unaona hafai subiri waliomweka wamhukumu sio wewe kuanza hujuma Ili aonekane hatoshi!!!

Liwe funzo kwa wote wenye mlengo huo!
 
Kuna vitu Huwa nawashangaa sana watu!!

Unafanyaje hujuma Kwa muajiri mkuu Tena ukijua fika kwamba IPO siku atajua!!?

Halafu Ili iweje!!?kama unaona hafai subiri waliomweka wamhukumu sio wewe kuanza hujuma Ili aonekane hatoshi!!!

Liwe funzo kwa wote wenye mlengo huo!
Ss kama walio muweka ndio wanakuambia utekeleze hujuma Huku wakikusogezea briefcase limejaa USD dollars, 💵 ,utafanyaje ?,
Ndio maana USA raisi akimaliza Muda wake anaondoka na watu wake wote.
 
Mkuu GENTAMYCINE pia mwambie Maza Kile kijitabu alicho kisema , akilete mbele ya hadhira kifanyiwe marekebisho, la sivyo..😂
Ina maana the state Bado wanamsimamo wao ule ule kwamba"uchaguzi wa serikali za mitaa na ujao usubiri kwanza katiba mpya ipatikane"!!

Mbona kama too late!!?au niamini kwamba "mtajwa asipokamilisha kitabu itakua too late kwake"!!!?

Sasa kama ni hivyo hao wanao sabotage sio kwamba wanawasaidia kazi kutokana na mtajwa kuchelewesha kitabu!!?

Nimemkumbuka Tumia akili na maandiko yake eti "wale conservative wanaotaka mambo yabaki hivi hivi watakaushwa kimya kimya"!!!yaani wale wanaotaka katiba ya zamani iendeleee kutumika kulinda wakubwa!!!

Kwako Blender!
 
Ss kama walio muweka ndio wanakuambia utekeleze hujuma Huku wakikusogezea briefcase limejaa USD dollars, 💵 ,utafanyaje ?,
Ndio maana USA raisi akimaliza Muda wake anaondoka na watu wake wote.
Waliotemwa sidhani kama Wana maisha marefu!

Wame wa dump jalalani Ili iwe rahisi kuwategea mitego ya kuwasafirisha kwenda ulimwengu wa pili!!

Maana hujuma walioifanya ni usaliti dhidi ya jamuhuri na jamhuri haiwezi kuwaacha salama!!

Nadhani!
 
Ina maana the state Bado wanamsimamo wao ule ule kwamba"uchaguzi wa serikali za mitaa na ujao usubiri kwanza katiba mpya ipatikane"!!

Mbona kama too late!!?au niamini kwamba "mtajwa asipokamilisha kitabu itakua too late kwake"!!!?

Sasa kama ni hivyo hao wanao sabotage sio kwamba wanawasaidia kazi kutokana na mtajwa kuchelewesha kitabu!!?

Nimemkumbuka Tumia akili na maandiko yake eti "wale conservative wanaotaka mambo yabaki hivi hivi watakaushwa kimya kimya"!!!yaani wale wanaotaka katiba ya zamani iendeleee kutumika kulinda wakubwa!!!

Kwako Blender!
Kitabu kwanza
 
Kuwa Taasisi Moja muhimu Tanzania ambayo Watendaji wake Wanaogopwa sana tu imefuta Kazi Wafanyakazi wote.

Jamani hivi unawezaje kufuta Kazi Watendaji wote ambao 99% yao wanajua Taarifa zote Muhimu ambazo hata akina GENTAMYCINE hatutakiwi kuzijua au hata tu kuzihisi? Hivi tunajua kuwa Kitendo cha kufuta Kazi Watendaji wote wa Taasisi hiyo ni Kulivalisha BOMU la HATARI kabisa Taifa letu?

Ningeambiwa kuwa Taasisi imeamua Kufuta Kazi baadhi ya Watendaji wake kutokana na Uzembe au Ufanisi Haba wa Kiutendaji ningekubali na pia hata kuunga mkono kwani hata Mimi mara kadhaa hapa hapa JamiiForums nimeshasema kuwa Taasisi inahitaji madadiliko makubwa.

Tena kwa Mataifa makubwa yanayojua nini maana ya hiyo Taasisi kama ya Urusi, Israeli, Uingereza na Ufaransa yao yakifikia tu huu Uamuzi huwa hawaishii tu Kuwaondoa Kazini ( Taasisini ) bali huhakikisha pia wanapiga Sindano za Sumu ili kila baada ya muda Mmoja Mmoja anakufa.

Na kama hii Taarifa ni Kweli basi ninajua hivi sasa Ndugu yangu 'Sinenepi ila nina Akili Nyingi' hapo jirani kafurahi. Na pia kama hii Taarifa ni ya kweli basi nina uhakika kuwa kuna Mtanzania Mmoja si tu Katuchoka bali pia Katuchukia sana na sasa anataka kutuingiza Matatizoni ili akaishi zake Uarabuni.
Hicho kitendo hakiwezekani kwa sababu taasisi ni diverse. Mfano officers waliopo kwa DSO kule Nkasi, wanahusikaje na mipango hatarishi hadi kufukuzwa kazi?
 
Back
Top Bottom