Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025

Lipa waliofukuzwa wakati ule, bajeti kama hizi zingetoka wapi? If so fedha za namna hii ziwe excluded by its totally, and then watafute THE ACTUAL LOST FUNDS!
 
Yasifanyike makosa tena ya kupata Rais ambae hakijiandaa kuwa Rais kama anko Maguu.

Kimbembe mlikiona.

Ni vizuri kukawepo na utaratibu kwa muda wa kutosha Na kujulikana mapema jina nani na nani wanatarajia na wamejiandaa kutumikia watanzania Kama Supreme Leader?!

Kuchukua mtu ambae hajajiandaa ili kumkomoa mwingine ambae Pengine unakuta ni kweli anakuwa na matatizo genuine inaleta shida kubwa kwa Umma.
 
Mchakato wa Uraisi nchi za wenzetu huchukua muda mrefu wa kutosha ili kuibuka na walau mwenye afadhali.
 
Haya mambo ya vificho vificho na kuogopana kuona nikitangaza nia Mwenyekiti wa chama atani-mind ndio mwishoni kule yanakuwa kama yale na kina mamvi na Maguu.
 
Mama sisi walipa kodi tunaumia sana tunavuona kod zetu zinatafunwa na wachache tena bila huluma mhe Rais tunakuomba wote walitajwa wachukuliwe hatua na mali zao kutaifishwa
 
Umeelewa alicho sema.amesema ni bora kipindi cha JPM wizi ulikuwepo ndio ila sio kama wa kipindi hiki huu umezidi mzee
 
Kada yako tafadhali
 
Kuanzia 2025 nchi itaongozwa na upinzani! Kumbuka hii.
 
True, she has no guts Kwa wasaidizi wake
 
Inategemea na wajeda wanasemaje! Wakimkubali umchague usimchague 2025 atapeta! Utabaki na kura yako ya hapana kwenye mabox ya kura!
Deep state ya Tanzania sijui ni akina Nani, ila mataifa yaliyomakini angestep down Kwa maslahi mapana ya taifa. kama Trump alivyofanyiwa USA.
 
Umenena VYEMA.

Nimeshangaa Sana eti anuani ya makazi Hakuna ufisadi. Je pesa Za Royal Tour mbona hazijatajwa.

Mengi Tu yamefichwa kuna BBT ya Bashe
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…