Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akitaka kuvua mwambieNina rafiki yangu wa muda mrefu tu na wala hatujawahi kuwa na tatizo, isipokuwa tu akivua viatu yaani chumba huwa kinajaa harufu kali. Ila yeye wala haonagi noma!
Nitawezaje kumjuza bila kumkwaza?
Akitaka kuvua mwambie ingia navyo tu mshikaji wangu wala usiwaze, usiongee neno lingine, mkaribishe muendelee na stori nyingine hicho kitendo tu lazima ajishtukie kama ni mwelewa atajirekebisha au akijua anakuja kwako atavaa sandozi, sema huyo rafiki yako unamuogopa sana utadhani ni baba yako.Nina rafiki yangu wa muda mrefu tu na wala hatujawahi kuwa na tatizo, isipokuwa tu akivua viatu yaani chumba huwa kinajaa harufu kali. Ila yeye wala haonagi noma!
Nitawezaje kumjuza bila kumkwaza?
mkishapika ugali wenu hakikisha ugali unaiva na kuweka ule ukoko chini ,mkiloweka sufuria basi Yale maji na ukoko ule atumie kuoshea miguu ,haitanuka kamwe
Akiwa mchamungu ataleta majibu kimetokea nn baada ya kufata maelekezoWacha mambo ya ajabu mzee,..Imani za hovyo mno hapo mtu Avae kiatu original tu kesi imeisha
Hata watoto wakianza puberty, haya maji wapitishe makwapani na miguuni for boys, hawawezi kunuka hadi kufa..mkishapika ugali wenu hakikisha ugali unaiva na kuweka ule ukoko chini ,mkiloweka sufuria basi Yale maji na ukoko ule atumie kuoshea miguu ,haitanuka kamwe
Interesting...we kabila ganiHata watoto wakianza puberty, haya maji wapitishe makwapani na miguuni for boys, hawawezi kunuka hadi kufa..
Mwambie kwamba hivi "Naona ndugu yangu una tatizo kama langu la zamani,yaani lilinisumbua sana,ila sema nikafanikiwa kulimaliza ijapo kwa shida kidogo...... atakuuliza tatizo gani hilo? utajibu hili la fangasi za miguuni. haalafu baada ya hapo utakuwa umeshafungua mjadala rafiki.utaendelea kwa pamoja kujadili kwa nianjema ya kusolve tatizo..Ila Hakikisha unazo abc za jinsi ya kudhibiti tatizo la harufu miguuni ili usaidie kutoa ushauri utakao msaidia ndugu yako(maana huyo ni ndugu yako si rafiki tena)Nina rafiki yangu wa muda mrefu tu na wala hatujawahi kuwa na tatizo, isipokuwa tu akivua viatu yaani chumba huwa kinajaa harufu kali. Ila yeye wala haonagi noma!
Nitawezaje kumjuza bila kumkwaza?