Mwambie kwamba hivi "Naona ndugu yangu una tatizo kama langu la zamani,yaani lilinisumbua sana,ila sema nikafanikiwa kulimaliza ijapo kwa shida kidogo...... atakuuliza tatizo gani hilo? utajibu hili la fangasi za miguuni. haalafu baada ya hapo utakuwa umeshafungua mjadala rafiki.utaendelea kwa pamoja kujadili kwa nianjema ya kusolve tatizo..Ila Hakikisha unazo abc za jinsi ya kudhibiti tatizo la harufu miguuni ili usaidie kutoa ushauri utakao msaidia ndugu yako(maana huyo ni ndugu yako si rafiki tena)